The House of Favourite Newspapers

Mume wa Dereva wa Lori la Mafuta Afunguka Mazito! – Video

Mwanamke aliyejitambulisha kwa jina la Stella Aradini ameelezea safari yake ya udereva pamoja na changamoto alizokumbana nazo mpaka sasa alipofikia.

 

Mwanamke huyo ameomba msaada wa ulinzi kwa makamu wa Rais mama Samia Suluhu na kusema “nimeshawahi kupigwa risasi.”

 

Global TV imezungumza na mume wa mwanamke huyo, ambaye amesimulia maisha yao kwa ujumla.

Comments are closed.