Mwakyembe Awateua Mwana FA, Richie Mtambalike BASATA
WASANII Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’ na Single Mtambalike ‘Richie’ wameteuliwa kuwa wajumbe ya Bodi ya Baraza la Sanaa Tanzania – BASATA,uteuzi huo umefanywa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe.
Comments are closed.