DODOMA: Aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Sadifa Juma Khamis (Mb.) amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma leo akishitakiwa kwa kosa la kutoa rushwa kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya hiyo.
LIVE: Matokeo ya Uchaguzi UVCCM Taifa Yatangazwa- Dodoma
TAKUKURU ilimnasa akitoa hongo kwa wajumbe ikidaiwa kwa lengo la kumpitisha Mgombea Thobias Mwesiga.
Comments are closed.