Nafasi za Kazi Tanzania Agricultural Research Institute (TARI), MSAIDIZI WA HESABU
POST | MSAIDIZI WA HESABU I (ACCOUNTS ASSISTANT) – 3 POST |
POST CATEGORY(S) | ACCOUNTING AND AUDITING |
EMPLOYER | Tanzania Agricultural Research Institute (TARI) |
APPLICATION TIMELINE: | 2020-05-07 2020-05-21 |
JOB SUMMARY | N/A |
DUTIES AND RESPONSIBILITIES | i. Kutunza daftari la fedha la matumizi ya kawaida na maendeleo;
ii. Kutunza nyaraka za hati za malipo; iii. Kuingiza mapato na matumizi kwenye vitabu vya fedha; iv. Kuandika taarifa mbalimbali za fedha zilizopokelewa; na Kufanya kazi nyingine za fani yake atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi |
QUALIFICATION AND EXPERIENCE | Kuajiriwa wenye stashahada ya Uhasibu kutoka Chuo kinachotambulika na Serikali au Cheti cha ATEC II kinachotolewa na NBAA au sifa nyingine zinazolingana na hizo zinazotambulika na NBAA.
i. |
REMUNERATION | TGS C |