The House of Favourite Newspapers

Nisha: Mabwana Waliniliza 2017

Salma Jabu ‘Nisha’.

STAA wa filamu za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ ameibuka na kuelezea kufurahishwa kwake na kumalizika kwa mwaka 2017 kwani ulimliza na kumfunza mengi katika suala la mapenzi baada ya mabwana zake wawili kuporwa na mastaa wenzake.

 

Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, Nisha alisema kutokana na kufanyiwa kitendo hicho, mikakati yake mipya mwaka huu ni kumficha mpenzi wake.

 

“Wapenzi wangu wawili nililizwa wapenzi wangu wawili na hii ni baada ya kuwaanika hadharani hivyo kwa sasa sifanyi tena hayo mambo ya kumwanika hivyo itakuwa ngumu kumuiba kwa sababu wengi wana hila wakishajua flani yupo na mimi ndiyo wananifanyia makusudi,” alisema Nisha.

STORI: GLADNESS MALLYA, Risasi MCHANGANYIKO

MAGAZETI JAN 3: Hii Ndiyo Sala ya Babu Seya na Magufuli Walipomtembelea Ikulu

Comments are closed.