×

Kusah: Ruby Aangalie Sana

MSANII maarufu wa Bongo Fleva, Kusah unaambiwa hapoi, sasa ameamua kufunga ukurasa na mzazi mwenzake, Ruby ambaye amekuwa akimponda mitandaoni...

READ MORE

TANZIA: Mwele Malecela Afariki Dunia

TAARIFA za kusikitisha zilizotufikia hivi punde, zinaeleza kuwa Dkt. Mwele Ntuli Malecela amefariki dunia, leo Alhamisi, Februari 10, 2022, Geneva...

READ MORE

Mwijaku: Harmonize Piga Kazi, Kuhusu H-Baba……

MTANGAZAJI wa Clouds Media, Burton Mwenda maarufu kwa jina la Mwijaku ameamua kuvunja ukimya kufuatia H-Baba kumgeuka Harmonize na kuanza kumposti...

READ MORE

Chongolo, Shaka Wamjulia Hali Prof. jay

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo (Leo) Alhamis, Februari 10, 2022 akiwa ameambatana na Katibu wa...

READ MORE

Waziri Mkuu: Unahitajika Umakini Kuigawa TANESCO

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema kwamba unahitajika umakini mkubwa kama itaonekana ipo haja ya kuligawa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)....

READ MORE

Zungu Mgombea Pekee Unaibu Spika, Uchaguzi Kesho

Kwa taarifa zilizotolewa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni chama kimoja tu (CCM) ndicho kilichowasilisha jina la...

READ MORE

Spika wa Bunge Akutana na Viongozi wa TFF

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Viongozi...

READ MORE

Kocha Afariki Baada ya Mchezaji Wake Kukosa Penati

KOCHA wa Timu ya Kingurunyembe yenye maskani yake mjini Morogoro Emanuel Peter Dihoko amefariki kwa mshtuko baada mchezaji wake kukosa...

READ MORE

Kibu Denis, Dilunga Majanga Simba

MENEJA Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amefungukia maendeleo ya wachezaji wao KibuDenis na Hassan Dilunga ambao kwa sasa...

READ MORE

TFF Yawarudisha Waamuzi Wote Darasani

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), jana Jumatano liliweka wazi kuwa limeandaa semina ya siku tatu kwawaamuzi wote wa Ligi Kuu...

READ MORE

Azam FC Yawapa Somo Yanga

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasilino ya Azam FC Thabith Chumwi Zakaria ‘Zaka Zakazi’ ameingilia kati sakata la Malalamiko...

READ MORE

Simba Wazindua Jezi ya Kombe la Shirikisho Afrika (Picha +Video)

Klabu ya Simba leo Februari 10, 2022 imezindua rasmi jezi mpya ambazo zitakuwa zinatumika kwenye michuano ya kimataifa ambayo klabu...

READ MORE

Kubenea: Bila Rais Samia Magazeti Yangu Yasingerudi

MKUREUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Hali Halisi Publishers, Saed Kubenea, amemshukuru Rais Samia Suluhu kwa kufungua ukurasa mpya na vyombo...

READ MORE

Sheria ya Vyombo vya Habari Kufumuliwa Upya – Video

SERIKALI kupitia idara ya Habari Maelezo imesema itaunda kamati maalum ya wanahabari na wadau wa habari nchini kujadili na kupitia...

READ MORE

Simba Yashtukia Janja Ya Asec, Yatangaza Vita

LICHA yawapinzani waSimba, Asec Mimosas ya nchini Ivory Coast kuficha kuhusu ujio wao hapa nchinikwenye mechi ya kwanza ya hatua...

READ MORE

Serikali Yafungulia Magazeti ya Mwanahalisi, Mawio, Mseto na Tanzania Daima

SERIKALI imeyafungulia rasmi magazeti manne ambayo ni Mwanahalisi, Mawio, Mseto na Tanzania Daima yaliyokuwa yamefungiwa kwa muda mrefu.   Uamuzi...

READ MORE

Rais Samia Awasili Paris Nchini Ufaransa

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasili Paris nchini Ufaransa kwa ajili ya kushiriki Mkutano...

READ MORE

Nafasi ya Kazi WWF, PROJECT EXECUTANT

JOB VACANCY PROJECT EXECUTANT – ILLEGAL WILDLIFE TRADE (IWT) Reports to: WWF Tanzania Wildlife Species Expert. Location: WWF- Tanzania, Arusha...

READ MORE

Video: Waziri Nape Azungumza Na Wahariri Wa Vyombo Vya Habari..

 Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye anazungumza na Wahariri wa Vyombo Vya Habari, Leo...

READ MORE

Simba Yamchimba Mkwara Bernard Morisson

UNAAMBIWA KIUNGO Mshambuliaji wa Simba, Bernard Morisson, mpaka Feb 8, 2022 hakuwa ameandika barua ya maelezo baada ya kutakiwa kuandika...

READ MORE