×

Yanga Yamalizana na Mashine Tano

YANGA rasmi imemalizana na mashine tano ambazo muda wowote zitatambulishwa mara baada ya kufikia muafaka mzuri katika usajili wa dirisha...

READ MORE

Funga Mwaka 2021… Jini Mkata Kamba

 BILA kupepesa kuna watu wengi hususan wale ambao ni mashabiki kindakindaki wa mastaa Bongo ambao mara nyingi wamekuwa wakiumizwa...

READ MORE

🔴#LIVE​​​​​​​​​​ : Wagonjwa Wa Corona Waongezeka Nchini, Mkakati Mpya Kudai Katiba Gumzo : Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi, Front Page. Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 23, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 23, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Uwoya: Nina Miaka 33 tu

KAMA ilivyo kwa baadhi ya mastaa wengine wa kike Bongo kusababisha utata juu ya umri wao, mwigizaji Irene Uwoya naye...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Mama Mzazi wa Mwakinyo Afariki Dunia

  #BreakingNews: Mama mzazi wa Bondia namba moja Tanzania na Afrika, Hassan Mwakinyo anayefahamika kwa jina la Fatuma Hassan Siri...

READ MORE

Koffi afunguka unyanyasaji wanawake kingono

PAMOJA na Mahakama ya Rufaa nchini Ufaransa kumuondolea mwanamuziki Koffi Olomide wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kosa la unyanayasaji...

READ MORE

Nabi: Tunakamiwa

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nassredine Nabi amesema licha ya kuibuka na ushindi 2-1 dhidi ya Tanzania Prisons, kikosi chake kinakutana...

READ MORE

RC Mtaka: Msiwarundike Walimu Shule Moja

MKUU wa Mkoa wa Dodoma nchini Tanzania, Antony Mtaka, ameuagiza uongozi wa ofisi ya mkurugenzi wa jiji na afisa elimu...

READ MORE

Mbaroni kwa Tuhuma za Kumbaka Mama Yake Mzazi

JESHI la polisi mkoa wa Dodoma linamshikilia kijana mmoja mwenye umri wa miaka 30 mkazi wa kijiji cha Kinyasi kati...

READ MORE

Orodha ya Majina Walioitwa Mafunzo ya Jeshi la Zimamoto

Soma Majina ya Waliochaguliwa kuripoti Chuo cha Jeshi la Zimamoto kulichopo Chongo Wilayani Handeni, Tarehe 09/01/2022 bila kukosa.

READ MORE

Waziri Anusurika Kufa, Aogelea Saa 12 Kujiokoa

WAZIRI wa Ulinzi na Polisi wa Madagascar, Serge Gelle (57) ameogelea kwa saa 12 baharini hadi kufika nchi kavu baada...

READ MORE

Polisi: Mhitimu wa SUA Aliyeuawa, Alivutwa Shingo

Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro linamshikilia mtu mmoja kwa mahojiano kufuatia kifo cha mhitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo...

READ MORE

Rayvanny Amtisha Hadi Diamond

MWANZONI msanii Rayvanny alikuwa akifanya muziki wa rap kabla ya kuanza kuimba. Mwaka 2011 aliibuka mshindi katika mashindano ya free...

READ MORE

Wanafunzi Wasio na Sare Wasizuiliwe Shuleni

WAZIRI wa TAMISEMI Ummy Mwalimu, amewataka wakuu wa shule wasiwazuie wanafunzi kuanza masomo pale wanapokuwa hawana sare za shule, bali...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Mkutano wa EAC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki Mkutano Maalum wa 18 wa Wakuu wa Nchi...

READ MORE

Simanzi Kuaga Mwili wa Mrembo wa SUA Aliyeuawa

Vilio na Simanzi vimetawala wakati wa ibada ya kumuaga Mwanafunzi ambaye amehitimu katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA)  mkoani...

READ MORE

Waziri: Fedha Zimetafunwa Hapa, Aagiza Waliotafuta Wasakwe

Naibu Waziri Ofisi ya Rais tawala za Mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) anayeshghulikia Afya, Dkt. Festo Dugange ameagiza kufanyika...

READ MORE

🔴#LIVE: Diamond Ampanikisha Harmonize, Siri Queen Darleen Kuroga Wanaume Yavuja | HotPot

Karibu kutazama kipindi namba moja cha Udaku ‘HOTPOT’ kinachokuletea habari mbalimbali za mastaa ndani na nje ya Tanzania.   

READ MORE