×

Jeshi la Mapinduzi Guinea Laagiza Benki Zote Kufunga Akaunti za Serikali

Mamlaka ya kijeshi ya Guinea, imeamuru benki kufungia akaunti zote zinazohusiana na serikali ili “kupata mali za serikali”.   Jeshi...

READ MORE

Kauli ya Serikali Kuhusu Bei ya Mafuta – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imeunda timu maalumu ili kuchunguza kupanda kwa bei ya mafuta kwa kuwa kitendo hicho...

READ MORE

Msajili Aishauri CHADEMA Kuweka Picha ya Rais

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imeishauri CHADEMA kuweka picha ya Rais katika ofisi za viongozi wa chama hicho...

READ MORE

Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Mwinyi afanya uteuzi Mpya

Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Mwinyi afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa...

READ MORE

Sakata la Malori 200 ya Tanzania Kuzuiliwa Zambia Liko Hivi

Serikali nchini Zambia imejibu tuhuma zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu kuyazuia malori 200 ya mizigo ya nchini Tanzania kuingia...

READ MORE

DED Aliyenusurika Mbele ya JPM, Asimamishwa kwa Tuhuma za Wizi wa Mabati

Waziri wa Tamisemi, Ummy Mwalimu leo Septemba 10,2021, amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo, Mkoa wa Morogoro,...

READ MORE

Mondi, Wema Watajwa Wapenzi Bora Bongo

Kapo ya Miss Tanzania 2006/2007, Wema Isaac Sepetu na staa mkubwa wa muziki nchini Tanzania, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, inatajwa...

READ MORE

Simba Yanga Azam Kuanzia Ugenini Ligi Kuu

RATIBA ya ligi kuu Tanzania bara imetangazwa leo Septemba 10,  na Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) Almas...

READ MORE

Mchekeshaji Mamito: Sipendi Kuvaa Nguo ya Ndani

Mchekeshaji wa kipindi cha Churchill, Eunice Wanjiru Njoki anayetambulika wa jina la Mamito, kutokea nchini Kenya, ameweka wazi kuwa hapendelei...

READ MORE

Gari la Marehemu Tupac Lauzwa Bilioni 4

Gari la Marehemu Tupac Shakur ambalo alikuwa akilitumia yapata miaka 25 iliyopita aina ya BMW 750IL la mwaka 1996 linauzwa...

READ MORE

Cherehani Apitishwa Kugombea Ubunge Jimbo la Ushetu

KAMATI Kuu ya CCM Taifa iliyoketi mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti na Rais Samia leo Septemba 10, 2021 imempitisha Emmanuel...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Wasomewa Mashtaka Upya

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe na wenzake watatu wasomewa upya mashtaka yao sita mbele ya...

READ MORE

Mwenyekiti wa CCM na Rais Samia Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao cha Kamati...

READ MORE

Ratiba ya Ligi Kuu Yatangazwa, Simba Na Yanga Kukutana Desemba -Video

 LIGI Kuu itaanza Septemba 29, 2021, ambapo miamba ya soka nchini Simba na Yanga zitapambana katika mechi ya Mzunguko...

READ MORE

Mbunge Aliyeteuliwa na Rais Samia Aapishwa

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai leo Septemba 10, 2021 amemuapisha Dkt. Stergomena Tax kuwa...

READ MORE

Rapcha Aachia Bonge la Albamu ‘Wanangu 99’

MSANII wa Hiphop nchini Tanzania, Cosmas Paul Mfoy almaarufu ‘Rapcha’ ameachia album yake ya kwanza iliyopewa jina la ‘Wanangu 99’...

READ MORE

Senzo: Tunaenda Kuijenga Yanga Mpya

OFISA Mtendaji Mkuu wa Yanga (CEO), Senzo Mazingisa, amesema wamejiandaa kufanya kazi bora na kuijenga Yanga mpya na imara kwa...

READ MORE

Fiston Atuma Salamu Yanga, Asajiliwa Morocco

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Fiston Abdulrazack, ametuma salamu za kuwaaga wana Yanga baada ya kusajiliwa na Olympique Club ya...

READ MORE

Shigongo Bungeni: Tariff za Kodi Wafanyabiashara Wanaumia – Video

MBUNGE wa Buchosa, Eric Shigongo ameiomba Serikali kufanya mapitio ya baadhi ya tariff za kodi ambazo zimekuwa mwiba kwa wafanyabiashara...

READ MORE