×

Simba Yaifuata Al Merrikh Kimafia

MSAFARA wa wachezaji 25 wa Simba na viongozi saba, jana Jumatano ulisafiri kuelekea nchini Sudan kimafia tayari kucheza mchezo wa...

READ MORE

Country Wizzy Afunguka Ukimya wa Cheed na Killy

Rapa Country Wizzy kutoka lebo ya Konde Gang ya Harmonize amefunguka ukimya wa wasanii Killy na Cheed ambao tangu wamehamia...

READ MORE

Wasiopata Chanjo ya Corona Marufuku Kuingia Makka

TAIFA  la Saudi Arabia limesema waumini wa dini ya Kiislamu watakaoruhusiwa kuhudhuria Ibada ya Hijja mwaka huu 2021 wanapaswa kuthibitisha...

READ MORE

Yanga, Coastal Union Watamba …Lazima Tuwanyooshe

YANGA imekuwa ikipata tabu zaidi ndani ya Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga ambapo leo itacheza hapo dhidi ya wenyeji wao,...

READ MORE

Part 2: Wazazi wa Mtoto Chekechea Genius wa Hesabu Wafunguka – Video

GLOBAL TV imefunga safari mpaka mkoani Morogoro Vijijini katika tarafa ya Matombo, kumfuata mtoto, Charles Mathias, ambaye amebarikiwa kipaji cha...

READ MORE

Video: Rais Mwinyi Awaapisha Mawaziri Aliowateua Hivi Karibuni

 Rais Mwinyi leo Machi 4,2021 amemwapisha Dkt Saada Mkuya Salum, kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Kwanza...

READ MORE

Shigongo Amwaga Vitanda vya Wagonjwa Buchosa – Video

MBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, amekabidhi vitanda vitano vyenye dhamani ya zaidi ya shilingi milioni 10 katika...

READ MORE

Urusi yaahidi kulipiza kisasi dhidi ya vikwazo vya Marekani

  Wizara ya mambo ya nje ya Urusi jana jioni imesema kuwa vikwazo vipya vilivyowekwa na Marekani ni ishara ya...

READ MORE

Kambi ya Kijeshi Iraq Inayotumiwa na Marekani Yapigwa Makombora

  Muungano wa Jeshi unaoongozwa na Marekani nchini Iraq pamoja na jeshi la nchini hiyo, umesema kuwa takriban roketi 10...

READ MORE

Wanaopata Shida ya Kupumua Waaswa kutokutaharuki, Waelekezwa Dawa Asili

  WATANZANIA wanaokumbwa na maradhi ya kushindwa kupumua vizuri na kubanwa mbavu  wameshauriwa wasipate taharuki kwani kuna dawa makini ya...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Machi 4, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Machi 4, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Bonge la Mpango ya Nmb yaanza kwa Kishindo; 10 Wazoa Mkwanja

Droo ya kwanza ya Kampeni ya Weka Akiba na Ushinde inayoendeshwa na Benki ya NMB iitwayo Bonge la Mpango, imefanyika...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Amani kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= Gazet la...

READ MORE

TGNP YAFUNGA SIKU TANO ZA MAFUNZO YA URAGHBISHI

Mtandao wa jinsia Tanzania (TGNP) imefunga mafunzo ya Uraghbishi yaliyofanyika kwa muda wa siku tano ili kuwafunza na kuwajengea uwezo...

READ MORE

Kikongwe Aliyeteseka Alishukuru Ijumaa Wikienda

Kikongwe Regina Mbawala, mkazi wa Bunju B, Kata ya Mabwepande jijini Dar aliyewahi kuripotiwa na gazeti hili akihitaji msaada, amelishukuru...

READ MORE

Kapo ya Mama Dangote Yazua Kasheshe!

Ama kweli Waswahili hawana jema! Hilo limethibitika usiku wa kuamkia Jumamosi baada ya baadhi ya mashambenga waliohudhuria onesho la Cheka...

READ MORE

Dereva Bodaboda Akatwa Shingo kwa Waya wa Umeme

DEREVA wa pikipiki katika kijiji cha Mgombasi wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma Kaimu Kinokwite (28) amekufa kwa kukatwa shingo na waya...

READ MORE

Walimu Wakatana Mapanga Wakigombania Penzi la Mwanafunzi

POLISI katika Kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya wamemkamata mwalimu wa Shule ya Upili ya Wasichana ya Karoti baada ya kudaiwa...

READ MORE

Monalisa Atangazwa Kuwa Msemaji wa Simba

Machampioni watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara Simba Queens, wamemtangaza rasmi Msanii nguli wa filamu Bongo, Monalisa kuwa...

READ MORE

Kortini kwa Tuhuma za Kuwaajiri Wageni Bila Vibali

  Wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika mahakama ya Wilaya Kinondoni jijini Dar es Salaam, kwa mashtaka manne likiwemo la kuwa ajiri...

READ MORE