×

Kesi ya Mr Kuku Yapigwa Kalenda

Mfanyabiashara, Tariq Machibya (29) maarufu ‘Mr Kuku’, anaendelea kusota gerezani kwa tuhuma mbalimbali, ikiwemo kutakatisha Sh bilioni 17 kwa kuendesha...

READ MORE

Bia ya Serengeti Lager Yasaini Mkataba wa Bil 3 Kuidhamini Taifa Stars

Bia ya Serengeti Premium Lager (SPL) leo imeingia makubaliano na kusaini mkataba na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Oktoba 7, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 7, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Risasi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Risasi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Kafara ya Harmo Yaanza Kujibu

Kufuatia ripoti zilizoanza kutoka wiki iliyopita za mafanikio ya wasanii kumtaja staa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul ‘Harmonize’, kuwa miongoni...

READ MORE

Serikali Yatoa Angalizo Dabi ya Simba na Yanga

Serikali imesema imejiandaa kukabiliana na mianya yote ya upigaji iliyokuwa ikiwanufaisha wachache na kusababisha Serikali kukosa mapato stahiki katika tozo...

READ MORE

Baba Mondi Ahaha Kumtoa Jela Amber Rutty

BABA mzazi wa mkali wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Abdul Juma amesema amepanga kutafuta fedha...

READ MORE

Mondi, Kiba Jino kwa Jino

JINO kwa jino kati ya msanii Nasibu Abdul ‘Diamond’ au Mondi na Ali Kiba ‘King Kiba’ siyo uadui, ni uhasimu...

READ MORE

Pendo Msegu: Panya Magawa Mtegua Mabomu Yupo Single

Mkufunzi wa Panya Magawa Pendo Msegu, amesema panya huyo yupo single na hatakiwi kuwa kwenye mahusiano kwa sababu anatakiwa afanye...

READ MORE

Polisi: Tutakesha na Msafara wa Lissu

Jeshi la Polisi nchini limesema kuwa litakesha na Mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA), Tundu Lissu kwani...

READ MORE

Polisi Yasimulia Ilivyowakamata 5 Ofisini kwa Lema

Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha linawashikiliwa watu watano, ambao liliwakamata wakiwa kwenye ofisi binafsi za mgombea ubunge jimbo la...

READ MORE

Taharuki! Mafuvu ya Watu 6 wa Familia Moja Yakutwa Mlimani

MABAKI ya mafuvu na miili ya watu sita wa familia moja wakazi wa Kijiji cha Kakese Mbugani wilaya ya Mpanda...

READ MORE

Kampuni ya Vodacom Yatoa Tuzo Kwa Global Publishers

Kampuni ya Global Publishers Limited imekabidhiwa tuzo na cheti cha heshima cha kutambua mchango wa ushirikiano kutoka Kampuni ya Vodacom...

READ MORE

Msafara wa Tundu Lissu Wazuiwa Pwani

Jeshi la Polisi wenye silaha za moto na Mabomu ya machozi muda huu wameuzuia msafara wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema...

READ MORE

Shigongo Aendelea Kuchanja Mbuga Vijiji vya Buchosa

LICHA ya ratiba ya kampeni ya mgombea ubunge Jimbo la Buchosa kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo...

READ MORE

TFS na Unesco Wasaini Mkataba Kuboresha na Kulinda Michoro ya Miambani Kondoa

Dar es Salaam: Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania – TFS chini ya Wizara ya Maliasiili na Utalii, imesaini Mkataba...

READ MORE

Cioaba Atambulisha Mfumo Mpya Azam

KOCHA mkuu wa klabu ya Azam, Aristica Cioaba, amezikalia kooni klabu za Simba na Yanga katika vita ya kusaka ubingwa...

READ MORE

Darasa la Saba Kuanza Mitihani ya Taifa Kesho

Jumla ya watahiniwa 1,024,700  wanatarajiwa kuanza mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi kuanzia kesho, Oktoba 7 hadi Oktoba 8, 2020...

READ MORE

Breaking News: Zitto Kabwe Apata Ajali Kigoma

KIONGOZI Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, amepata ajali ya gari katika Kijiji cha Kalia, mkoani Kigoma, ...

READ MORE

Maajabu Mvuvi Aliyevua Samaki Albino

  MVUVI  nchini Uingereza amesema amepata bahati ya kuvua samaki aina ya papa mwenye albinism (zeruzeru)  akapiga naye picha kisha...

READ MORE