×

Marekani: Spika Pelosi Aamuru Wabunge Kuvaa Barakoa

SPIKA wa Bunge la Marekani, Nancy Pelosi, ameamuru kuwa wabunge na wafanyakzi wote wa chombo hicho watapaswa kuvaa barakoa katika...

READ MORE

Fei Toto Akabidhiwa Tuzo & Mil 1 na SportPesa

KAMPUNI ya michezo na burudani ambao pia ni wadhamini wakuu wa timu za Simba na Yanga, wiki hii waliendesha shindano...

READ MORE

Mtoto Amkosha Rais Magufuli, Amkabidhi Mil 5 – Video

MTOTO mmoja anayesoma katika Shule ya Msingi Somanga mkoani Lindi, Rehema Mikidadi Ngenje,  amemkosha Rais  John  Magufuli wakati akiwa njiani...

READ MORE

JPM Audhiwa na Waziri, Amwambia ‘Barabara Mbovu’ – Video

RAIS   John  Magufuli ameonyesha kukereka na kitendo cha kukuta kilometa 90 za Barabara ya lami YA Kilwa – Somanga Ikiwa...

READ MORE

JPM Apewa Jogoo: ‘Nitakupa Mama Yangu Uwe Baba’ – Video

MWANANCHI mmoja wa Kijiji cha Somanga, wilayani Kilwa, mkoani Lindi, Shaweji Mohamed Kimbwembwe, ameonyesha kufurahishwa na kazi kubwa anayoifanya Rais...

READ MORE

Lampard Ataja Faida ya Chelsea Kufuzu UEFA

KOCHA wa Chelsea, Frank Lampard, amefurahia kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao akisisitiza hiyo itasaidia kuwavutia wachezaji wapya kwa...

READ MORE

Lissu Ajiweka Karantini, Ashindwa Kufika Mahakamani

KESI ya uchochezi inayomkabili Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu leo Julai 30, 2020, imeahirishwa hadi Agosti 26, baada ya...

READ MORE

Kisa Madawa, Msanii Akiri: ‘Nilijaribu Kujiua’

MSANII wa muziki nchini Uganda, Jackie Chandiru,  ambaye aliwahi kupambana na uraibu wa kutumia dawa za kulevya,  amerejea tena katika...

READ MORE

Kaoneka: Kidunda Akinipiga Naacha Ngumu

BONDIA wa ngumi za kulipwa, Shabani Kaoneka anatarajia kupanda ulingoni katika pambano la raundi sita, uzito wa kati dhidi ya...

READ MORE

Wanjara: Nimeitwa Tasa, Mgumba Lakini Nimezaa!

MISS Mara, mwanamitindo na aliyewahi kuwa mpenzi wa zamani wa mwanamuziki Prof Jay, Rashida Wanjara,  amesema anajisikia furaha kuwa mzazi...

READ MORE

Agizo la JPM Uwanja wa Mkapa Laanza Kutekelezwa

  WIZARA  ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imeanza kutekeleza maelekezo ya Rais  John Magufuli wa kubadili jina la Uwanja...

READ MORE

Mkwasa Master Aomba Kupumzika Yanga

KAIMU Katibu Mkuu wa Yanga Simon Patrick amesema Kocha Msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa ameomba kupumzika kukinoa kikosi hicho....

READ MORE

Mahakama Yataifisha Tanzanite Simanjiro

JULAI 29, 2020, MAHAKAMA  mkoani Manyara, Julai 29, 2020,  imeyataifisha madini ya Tanzanite gramu 132.64 yenye thamani ya shilingi milioni...

READ MORE

Simulizi ya Kusisimua ya Maisha ya Mkapa

MWEZI Novemba mwaka 2019,  Benjamin Mkapa alizindua kitabu juu ya maisha yake, na katika aya ya mwisho ya dibaji aliandika...

READ MORE

Klabu 10 za Soka Tajiri Zaidi Duniani kwa Sasa

KLABU ya Liverpool inaikaribia timu ya Manchester United kuwa klabu yenye thamani kubwa zaidi England baada ya kutwaa taji la...

READ MORE

Wasafi: Shoo Moja ya Zuchu Milioni 20

MENEJA wa kimataifa wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz na WCB, Sallam Sk, amebainisha kwamba kutokana na uwekezaji mkubwa...

READ MORE

Katavi: Polisi Yazima Ndoa Mwanafunzi Darasa la 5

JESHI la Polisi Mkoa wa Katavi limewakamata watuhumiwa 15 wakiwemo wazazi wawili kwa kumwozesha mwananfunzi wa darasa la tano anayesoma...

READ MORE

Aliyepanga Njama za Kumng’oa Rais Mugabe Afariki

WAZIRI wa kilimo wa Zimbabwe Perrance Shiri, amefariki Dunia asubuhi ya jana Jumatano, Julai 29, 2020, wakati akiwa hospitali akipatiwa...

READ MORE

Mkapa Asimulia Bibi Yake Kuuawa kwa Tuhuma za Uchawi

KATIKA maisha ya kimaskini kwenye Kijiji cha Lupaso, familia ya hayati Benjamin Mkapa ilikuwa inaonekana kuwa na maisha mazuri.  ...

READ MORE