×

Wakurugenzi Apple, Facebook, Amazon na Google Kuhojiwa

Mark Zuckerberg (Facebook), Jeff Bezos (Amazon), Tim Cook (Apple) na Sundar Pichai (Google) watahojiwa na Bunge kuhusu wanavyokabiliana na taarifa...

READ MORE

JPM: Mkapa Alikataa Kuzikwa Dodoma – Video

RAIS John Magufuli amesema rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin  Mkapa alipenda nyumbani kwao Masasi ndiyo maana alikataa kuzikwa...

READ MORE

Kikwete: Viwanda, Uchumi wa Kati Dira ya Mkapa – Video

RAIS mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema sera ya kukuza uchumi na kujenga viwanda ilikuwa ni dira  aliyoitengeneza...

READ MORE

Askofu Nyaisonga: Mkapa Kukiri Aliyokosea ni Unyenyekevu

RAIS wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Mhashamu Askofu Gervas Nyaisonga, amesema kitendo Hayati Benjamin Mkapa kukiri mambo aliyowahi kukosea...

READ MORE

Video: Harmonize ‘Aagua Kilio’ Na Kushindwa Kuendelea Kuimba

 Msanii wa Bongo Fleva Harmonize ashindwa kuendelea kuimba na kuangua kilio wakati wa shughuli ya kutoa heshima za mwisho...

READ MORE

Benki ya Exim Yatangaza Ongezeko la Faida Licha ya Corona

  Benki ya Exim imepata ongezeko la faida (kabla ya kodi) kwa asilimia 35 katika kipindi cha robo ya pili...

READ MORE

Trump Akomalia Hydroxychloroquine Kutibu COVID-19

RAIS wa Marekani, Donald Trump kwa mara nyingine ametetea matumizi ya hydroxychloroquine kupambana na virusi vya corona,  jambo ambalo limewachanganya...

READ MORE

Zahera: Molinga ‘Amebaniwa’ Yanga

KOCHA wa zamani wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa kama straika wa timu hiyo David Molinga asingekuwa akiwekwa benchi mara...

READ MORE

Samatta Kutua Bongo, Kuungana na Kiba

MSHAMBULIAJIwa Aston Villa ya nchini Uingereza, Mtanzania Mbwana Samatta anatarajia kutua nchini wiki hii baada ya ligi ya nchini humo...

READ MORE

Daktari Mbaroni Tuhuma za Kumpa Mimba Mwanaye

MWANAFUNZI wa Chuo cha Udaktari wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara na mkazi wa Mburahati jijini Dar es Salaam na Itunduma...

READ MORE

Kocha Yanga Akutana na Rungu Jingine Sauz

SHIRIKISHO  la Soka la  Afrika Kusini (SAFA) limemfutia jumla vibali vya kazi Luc Eymael aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga kufanya...

READ MORE

Shoo ya Mzee Yusuf Yasogezwa Mbele Dar Live

LEO shoo babkubwa iliyokuwa ifanyike Julai 7 mwaka huu, imesogezwa mbele kutokana na kuomboleza kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu...

READ MORE

Yanga Yakimbilia Kumshtaki Morrison TFF

HATIMA ya kiungo mshambuliaji wa Yanga, Bernard Morrison raia wa Ghana itaamuliwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), chini ya...

READ MORE

China Yasimamisha Ushirikiano wa Hong Kong na Canada, Australia & Uingereza

CHINA imetangaza kuwa inasimamisha mkataba wa kubadilisha wahalifu kati ya kisiwa chake cha Hong Kong na mataifa ya Canada, Australia...

READ MORE

Aliyefanikisha Usajili wa Samatta Atimuliwa Aston Villa

KLABU ya Aston Villa imemfuta kazi mkurugenzi wake wa michezo, Jesus Garcia Pitarch, baada ya kukosoa sera za usajili za...

READ MORE

Shibuda Apitishwa Kugombea Urais wa Tanzania 2020

CHAMA cha ADA -TADEA kimempitisha John Shibuda kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura...

READ MORE

Serikali Yafafanua Ndege ya Kenya Kushindwa Kutua Tanzania

UBALOZI wa Tanzania nchini Kenya umekanusha taarifa kuwa ujumbe rasmi uliomwakilisha Rais Uhuru Kenyatta katika msiba wa Rais Mstaafu Benjamin...

READ MORE

Iran Yafanya Mazoezi ya Kuzilenga Meli za Kivita

WANAJESHI wa kikosi cha kulinda mapinduzi cha Iran wamefyatua makombora kukilenga chombo cha mfano wa meli zenye uwezo wa kubeba...

READ MORE

LIVE : Rais Magufuli Akiongoza Mazishi ya KIJESHI ya Hayati Mzee Mkapa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ameungana na baadhi ya Viongozi wa Tanzania pamoja na...

READ MORE