×

Diamond Platnumz Akanusha Tetesi za Kuhusishwa na Vee Dollarz

Msanii wa muziki nchini Tanzania, Diamond Platnumz, amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni zikimhusisha kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na Vee Dollarz,...

READ MORE

Mkuu wa Majeshi Uganda Awapa Iran Siku Saba Kuwaomba Radhi

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda (UPDF), Muhoozi Kainerugaba, amezua mjadala mkali kimataifa kufuatia kauli alizotoa kupitia ukurasa wake...

READ MORE

Nana Dollz Afichua Sababu Ya Ndoa Kuishia Njiani “Nikarudisha Gari ”- Video

Msanii na staa wa mitandaoni, Nana Dollz, ameweka wazi sababu iliyosababisha ndoa yake kushindikana kufikia hatua ya mafanikio, akieleza kuwa...

READ MORE

Trump Afunguliwa Kesi Mpya na Democrats Kuhusu Kura za Posta

Chama cha Democrats nchini Marekani kimefungua kesi mahakamani kupinga agizo jipya la Rais Donald Trump linalolenga kudhibiti upigaji kura kwa...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 3, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Dkt.James Andilile Atenguliwa – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Aprili 2, 2026 amefanya mabadiliko katika uongozi wa EWURA kwa...

READ MORE

Video: Watu 9 Wanusurika Kifo Baada ya Lori la Mafuta Kulipuka Morogoro

Watu tisa, wakiwemo askari watatu—wawili wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na mmoja wa Jeshi la Polisi—wamenusurika kifo kufuatia mlipuko...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi, Utenguzi, Uhamisho wa Viongozi, Angellah Kizigha Ateuliwa Mbunge

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi, utenguzi, uhamisho na kumpangia kituo balozi katika mabadiliko...

READ MORE

Waziri Mkuu Mwigulu Asafiri kwa SGR Kutoka Dodoma Hadi Dar – Picha

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, leo Aprili 2, 2026 amesafiri kwa treni ya reli ya...

READ MORE

Trump Amtania Macron Kuhusu ‘Kofi la Mkewe’, Rais wa Ufaransa Ajibu kwa Hasira

Rais wa Marekani Donald Trump ameibua mjadala mkubwa kimataifa baada ya kumkejeli Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kwa kurejea tukio...

READ MORE

Video: Polisi Ruvuma Wawakamata Watuhumiwa wa Mauaji ya Dereva Bodaboda

Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma linawashikilia watuhumiwa wawili, Saidi Ramadhani (28), mkazi wa Mshangano–Namanyigu, na Gamaliel Mundo (36), mkazi...

READ MORE

Video: Mbunge John Nchimbi Ajilipua Sakata la Mafuta, Watumishi Wanaotumia Magari Binafsi

Mbunge wa Jimbo la Nyasa, John Nchimbi, amechangia katika Kikao cha Tatu cha Mkutano wa Tatu wa Bunge la 13,...

READ MORE

Rais wa Iran Atuma Barua ya Wazi Kwa Wamarekani Kuhusu Vita

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ameandika barua ya wazi kwa umma wa Marekani akihoji iwapo vita vinavyoendelea kati ya nchi...

READ MORE

Sababu 5 Zinazowapa Argentina Nafasi ya Kutwaa Kombe la Dunia 2026

Wakali wa ubashiri wanampa nafasi ya 5 Argentina kushinda Kombe la Dunia 2026. Mashindano ambayo ayanatarajiwa kufanyika kule Bara la...

READ MORE

TFF Yatupilia Mbali Shauri la Simba, Hakuna Dosari Kwa Damaro

Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF imetupa shauri lililowasilishwa na Simba kuhusu uhalali wa usajili wa mchezaji...

READ MORE

Video: Hoja Nzito za Eric Shigongo Bungeni, Kuhusu CAG, Uchumi

Mbunge wa Jimbo la Buchosa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo, amechangia mjadala Bungeni mjini Dodoma leo Aprili 2,...

READ MORE

Vodacom Yafanya Maboresho Makubwa M-Pesa, Kuongeza Usalama na Ufanisi

Dar es Salaam, Aprili 1, 2026: Kampuni ya Teknolojia na Mawasiliano ya Vodacom Tanzania Plc leo imetangaza kukamilika kwa maboresho...

READ MORE

Video: Mbunge Sanga Ahoji Kuhusu Ujenzi wa ‘Arena’

Mbunge wa Jimbo la Makete kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Festo Sanga, ameuliza swali la nyongeza Bungeni akilenga Wizara ya...

READ MORE

SBL Yatambulisha Serengeti Premium Apple Kwa Wadau Dar

Kampuni ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imewakutanisha wadau kutoka tasnia mbalimbali jijini Dar es Salaam katika mkakati maalum wa kutambulisha...

READ MORE

Video: Mbunge Bahati Ndingo Aibananisha Serikali Sekta ya Elimu

Mbunge wa Jimbo la Mbarali, Bahati Ndingo, amepata nafasi ya kumuuliza swali Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

READ MORE