×

Rais Samia Atekeleza Mipango ya Ujenzi Miradi ya Majitaka Nchini

Seoul,Korea Waziri wa Maji Mheshimiwa Jumaa Aweso(MB) amemsisitiza Mshauri elekezi DOHWA Engineering kampuni ya Korea anaesimamia Miradi mikubwa ya ujenzi...

READ MORE

CRDB Yashinda Tuzo ya Kimataifa ya Benki Bora Tanzania 2024

Benki ya CRDB imetangazwa kuwa benki bora zaidi Tanzania kwa mwaka 2024 katika tuzo za taasisi bora za fedha duniani...

READ MORE

Madaktari Walioenda Comoro Warejea Baada ya Kuhudumia Zaidi ya Watu 3,000

MADAKTARI tari wa Tanzania wamerejea nchini baada ya kuhitimisha Kambi tiba nchini Comoro kwa kutoa huduma kwa wagonjwa  2,770 na...

READ MORE

Mambo Yazidi Kunoga, Wananchi Sasa Kunufaika na Magift ya Kugift Awamu ya Pili

Dar es Salaam, 5 Desemba 2024: Kampuni ya mtandao wa simu wa YAS Tanzania imezindua kampeni ya Magift ya Kugift...

READ MORE

NMB Yanyakua Tuzo Zaidi ya 30 za Ubora na Umahiri Mwaka 2024

Benki ya NMB imedhihirisha tena ukubwa wake nchini, baada ya mwaka huu kuweka rekodi kwa kutwaa zaidi ya tuzo 30...

READ MORE

Waliotaka Kumteka Tarimo, Mikononi Mwa Polisi, “Wanane Tumewakamata”-Muliro

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limefanikiwa  kukamata kundi la wahalifu wanane wanaotuhumiwa kula njama kwa pamoja na...

READ MORE

Ufanisi wa Bandari Umeongeza Mapato ya TRA-Kamishana Mwenda

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Mwenda amesema Uwekezaji uliofanywa katika Bandari ya Dar es Salaam...

READ MORE

Aweso Ajikita Katika Matumizi ya Teknolojia Suluhu ya Upotevu wa Maji Nchini

    SEOUL, KOREA Waziri wa Maji Mhe Jumaa Hamidu Aweso(MB) amewasili Seoul nchini Korea Kusini kwa mualiko maalumu wa...

READ MORE

Man United Dhidi Ya Arsenal Ngoma Nzito Leo

Ni Arsenal dhidi ya Manchester United kunako ligi kuu ya Uingereza mchezo ambao unasubiriwa kwa hamu sana na wapenzi wa...

READ MORE

Hitilafu Gridi ya Taifa Yaathiri Treni Tatu za SGR, TRC Yathibitisha

Shirika la Reli Tanzania (TRC) limethibitisha kuwa Treni zake tatu ikiwemo Treni yake ya ‘Mchobgoko’ zilisimama kufanya kazi kwa muda...

READ MORE

Majaliwa: Rais Dkt. Samia Aagiza Fedha Za Maadhimisho Ya Miaka 63 Ya Uhuru Zielekezwe Kutoa Huduma Za Kijamii

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza Maadhimisho ya Miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania...

READ MORE

Mzee Warioba Atema Nyongo Kilichotokea Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa, Uhusika Wa Polisi – Video

Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba ametoa maoni yake kuhusu uchaguzi wa Serikali za...

READ MORE

Fifa Yamteua Saleh Jembe kupiga kura ya Mchezaji Bora wa Dunia

Mwandishi mkongwe na maarufu wa michezo nchini, Saleh Ally maarufu kama Saleh Jembe, kwa mara nyingine ameandika rekodi nyingine chini...

READ MORE

Shinda na Meridianbet Katika Promosheni ya Mwezi wa Pesa!

Meridianbet inakuletea msimu wa sikukuu wa kipekee kupitia promosheni ya Mwezi wa Pesa. Wachezaji wana nafasi ya kushinda zawadi kubwa...

READ MORE

Kocha wa Man United Kuiongoza timu yake Dhidi ya Arsenal leo

Kocha wa Manchester United Ruben Amorim (39), baada ya kuiongoza timu yake kupata ushindi mnono Jumapili iliyopita dhidi ya Everton,...

READ MORE

Waziri Mkuu Alivyoshiriki Maziko ya Dkt. Ndugulile – Video

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Desemba 03, 2024 ameshiriki mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kigamboni na Mkurugenzi Mteule...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Desemba 4,2024

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Mzee Yusuf Afunguka Kila Kitu-Show Yake ya Disemba 8 – Video

Msanii wa Sanaa ya Muziki wa Taarab nchini, Mzee Yusuph amefunguka kupitia kipindi cha Katambuga @255globalradio na @globaltvonline na kueleza...

READ MORE

Najali Care na American Clinic Waanzisha Ushirikiano wa Kuboresha Huduma za Afya Afrika

Dar es Salaam, Tanzania, 05 Disemba 2024 – Najali Care, jukwaa la kibunifu la utalii wa matibabu la Afrika Kusini,...

READ MORE

Serikali Yasema Unyanyasaji Dhidi ya Wenye Ulemavu Sasa Basi

Dkt. Biteko asema Serikali itakula Sahani moja na wanyanyasaji wa wenye ulemavu   Wakuu wa Mikoa waagizwa kusimamia mpango wa taifa...

READ MORE