×

Merino Aizamisha Ubelgiji Dakika za Mwisho, Hispania Yatinga Nusu Fainali Kombe la Dunia

Inglewood, California – Mchezaji wa akiba Mikel Merino aliibuka shujaa wa Hispania baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya...

READ MORE

ChardTalent: Kutoka Kushushwa Jukwaani Hadi Kuanzisha Muziki wa Kiucheshi Tanzania

Dar es Salaam – Wengi wanamfahamu ChardTalent kupitia nyimbo zake za vichekesho na video zinazovuma mitandaoni, lakini nyuma ya mafanikio...

READ MORE

Kimya cha Mojtaba Khamenei Chazua Mjadala Mkubwa Iran, Wananchi Wataka Aonekane

Kutokuwepo hadharani kwa Kiongozi Mkuu mpya wa Iran, Mojtaba Khamenei, kumeendelea kuzua maswali ndani na nje ya nchi huku baadhi...

READ MORE

Historia Yaandikwa! Bongo Fleva Yaadhimisha Miaka 30 kwa Kishindo Mlimani City, Dar – Video

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, maarufu kama MwanaFA usiku wa kuamkia leo Julai 11, 2026 ameshiriki...

READ MORE

Shakira Afunguka Kuhusu Onyesho Kubwa la Fainali ya Kombe la Dunia

Msanii maarufu kutoka Colombia, Shakira, amesema onyesho la kwanza kabisa la ‘halftime show’ katika fainali ya Kombe la Dunia la...

READ MORE

Mwanamke Akamatwa Kwa Tuhuma za Kuwapelekea Boko Haram Pombe na Dawa za Kulevya

Jeshi la Nigeria limetangaza kumkamata mwanamke raia wa Chad anayeshukiwa kuhusika katika usambazaji wa dawa za kulevya, pombe na bidhaa...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Julai 11, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Simanzi Chalinze! Watoto Watatu Wakutwa Wamefariki Ndani ya Gari

Huzuni imetanda katika Kijiji cha Lamboni, Kata ya Lugoba, Wilaya ya Chalinze mkoani Pwani, baada ya watoto watatu waliokuwa wameripotiwa...

READ MORE

Misri Yarejea Nyumbani, Yapigiwa Shangwe Airport Baada ya Kuandika Historia Kombe la Dunia

El Alamein, Misri — Mamia ya mashabiki wa soka nchini Misri wamejitokeza kwa furaha kubwa kuwapokea wachezaji wa timu yao...

READ MORE

Robo Fainali ya Moto! Hispania na Ubelgiji Kurudisha Kumbukumbu za 1986

Mechi hii inaweza kuelezwa kama mgongano wa falsafa mbili tofauti za mpira. Hispania wanacheza kwa uvumilivu na umiliki wa mpira,...

READ MORE

Makamu wa Rais wa Zambia Anusurika Ajali ya Helikopta ya Jeshi

Makamu wa Rais wa Zambia, Mutale Namulango, amenusurika kifo baada ya Helikopta ya Jeshi la Anga la Zambia (ZAF) aliyokuwa...

READ MORE

Mnyika Avunja Ukimya: Afunguka Kusimamishwa kwa Viongozi, Fedha za Chadema – Video

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, amesema uamuzi wa kuwasimamisha baadhi ya viongozi wa chama...

READ MORE

Israel Yafichua Mpango Mpya wa Kumuua Trump Kutoka Iran, Mvutano Waongezeka

Israel imeishirikisha Marekani taarifa za kijasusi kuhusu mpango mpya na maalum unaodaiwa kuandaliwa na Iran wa kumuua Rais wa Marekani,...

READ MORE

Ufaransa Yaiondoa Morocco, Yatinga Nusu Fainali ya Kombe la Dunia

Ndoto ya Morocco ya kurudia mafanikio ya kutinga nusu fainali ya Kombe la Dunia imefikia tamati baada ya kufungwa mabao...

READ MORE

Harmonize na Kajala Waonekana Pamoja Baada ya Tetesi za Kuachana

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa Konde Music Worldwide, Harmonize, ameibua hisia usiku wa kuamkia leo Julai...

READ MORE

Usikose Nafasi Ya Kufungua Mlango wa Kwanza wa 12 Masks of Fire: Night Fever

Katika ulimwengu wa burudani za kasino mtandaoni, kuna nyakati ambazo zinakuja mara moja tu na kuacha alama kwa wale wanaozitumia...

READ MORE

Justin Bieber, Shakira, Madonna na BTS Kutumbuiza Fainali ya Kombe la Dunia 2026

NEW YORK – Nyota wa muziki duniani Justin Bieber ataungana na Shakira, Madonna na kundi la BTS kutumbuiza kwenye onyesho...

READ MORE

Marekani Yaripotiwa Kushambulia Karibu na Kinu Pekee cha Nyuklia cha Iran

TEHRAN – Vyombo vya habari vya serikali ya Iran vimeripoti kuwa Marekani imefanya mashambulizi yaliyolenga maeneo ya pembezoni mwa kinu...

READ MORE

Mwanamitandao wa Ghana Apelekwa Marekani Kujibu Tuhuma za Ulaghai wa Kimapenzi

Mtengeneza maudhui maarufu wa mitandao ya kijamii kutoka Ghana, Frederick Kumi, anayejulikana zaidi kwa jina la Abu Trica, amesafirishwa kwenda...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Julai 10, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE