×

Mixx yakabidhi zawadi kwa washindi watatu maonesho ya Sabasaba

Kampuni ya Mixx imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya Kombe la Dunia ya MiXX Super, ambapo washindi watatu wamekabidhiwa...

READ MORE

Rais Mnangagwa Aongezewa Muda wa Kuongoza Zimbabwe Hadi 2030 Baada ya Kusaini Sheria Mpya

HARARE, Zimbabwe: Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, amesaini kuwa sheria muswada unaomruhusu kuendelea kubaki madarakani hadi mwaka 2030, baada ya...

READ MORE

Marekani Yarudisha Vikwazo kwa Mauzo ya Mafuta ya Iran Baada ya Mashambulizi ya Meli Hormuz

WASHINGTON: Serikali ya Marekani imerejesha vikwazo dhidi ya mauzo ya mafuta ya Iran kufuatia mashambulizi yaliyolenga meli za kibiashara katika...

READ MORE

Wakulima Tanzania Kunufaika na Mkopo Mkubwa wa Kilimo Kutoka Japani

Ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Japani kupitia Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japani (JICA) umefungua...

READ MORE

Usibashiri Kawaida Tena! Tumia BET BUILDER Kutengeneza Mkeka Wako

Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet una nafasi ya kutengeneza pesa zaidi ya Mamilioni?. Tumia Bet Builder leo ambapo unaweza...

READ MORE

Godbless Lema Avunja Ukimya Mjadala wa Degree na Kufua Boxer

Kufuatia mjadala uliosambaa kwenye mitandao ya kijamii baada ya kauli ya mtumishi wa Mungu Rose Shaboka kuhusu mwanamke mwenye shahada...

READ MORE

Iran Yashambulia Vituo vya Kijeshi vya Marekani Bahrain na Kuwait, Bei ya Mafuta Yapanda

Mvutano kati ya Iran na Marekani umeongezeka tena baada ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran (IRGC) kudai kushambulia...

READ MORE

Rais Samia na Dk. Mwinyi Kutingisha Kizimkazi Festival 2026

Zanzibar: Kaulimbiu ya “Kizimkazi Kumenoga!” ndiyo inayobeba Tamasha la Kizimkazi 2026, litakalofanyika kuanzia Agosti 12 hadi 14 katika Wilaya ya...

READ MORE

Kombe la Dunia Lapamba Moto, Vigogo Kukutana Robo Fainali, Morocco Yatikisa

Hatua ya 16 Bora ya Kombe la Dunia 2026 imekamilika rasmi usiku wa kuamkia leo baada ya timu nane kufuzu...

READ MORE

Tanasha Donna Atimiza Miaka 31, Atoa Ujumbe wa Shukrani kwa Mungu

Tanasha Donna, mama wa mtoto wa msanii wa Tanzania Diamond Platnumz, amesherehekea siku yake ya kuzaliwa Julai 7, 2026  huku...

READ MORE

Marekani Yafanya Mashambulizi Mapya Iran Baada ya Meli Tatu Kushambuliwa Hormuz – Video

Jeshi la Marekani limetekeleza mashambulizi mapya dhidi ya Iran mapema Jumatano, saa chache baada ya meli tatu za kibiashara kushambuliwa...

READ MORE

Meridianbet Yazindua Big Win Battle, Shindania Zawadi za Tsh Milioni 3

Kwa vijana wengi wa kizazi hiki, simu ya mkononi si kifaa cha mawasiliano pekee, bali ni lango la fursa, burudani...

READ MORE

Uswisi Yaiondoa Colombia kwa Penalti, Yatinga Robo Fainali kwa Mara ya Kwanza Tangu 1954

Uswisi imeandika historia kwa kutinga robo fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Colombia kwa mabao 4-3 kwa...

READ MORE

Waziri wa Ujerumani Aitaka Lebanon Kudhibiti Hezbollah, Aunga Mkono Mazungumzo

Waziri wa Mambo ya Nje wa Shirikisho la Ujerumani, Johann Wadephul ameitaka serikali ya Lebanon kuchukua hatua madhubuti dhidi ya...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Norway Yanayowashangaza Watalii Duniani

Norway ni miongoni mwa mataifa yanayotajwa kuwa na kiwango cha juu cha maisha duniani. Iko kaskazini mwa bara la Ulaya...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Wito wa Kutafuta Njia Mpya za Kueneza Kiswahili Duniani

Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema kuna umuhimu wa kubuni mbinu mpya za kukieneza Kiswahili duniani baada ya...

READ MORE

Nafasi za Customer Care Zatangazwa Dar, Mshahara wa Hadi Sh450,000

Wakazi wa Dar es Salaam, hususan wanawake wanaotafuta ajira, wamepata fursa mpya baada ya kutangazwa kwa nafasi za kazi za...

READ MORE

RC Chalamila Atembelea Banda la Yas Sabasaba, Apongeza Suluhisho za Kidijitali kwa Watanzania

Dar es Salaam, Julai 7, 2026 – Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametembelea banda la Yas...

READ MORE

Mwamuzi Awanyima Misri Ushindi wa Kihistoria Dhidi ya Argentina

Misri imeibua malalamiko makubwa dhidi ya mwamuzi wa Ufaransa, Francois Letexier, baada ya kufungwa mabao 3-2 na Argentina katika hatua...

READ MORE

CMSA: Mafanikio ya iTrust Ni Habari Njema kwa Uchumi wa Tanzania

OFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) CPA. Nicodemus Mkama amesema mafanikio ya asilimia 760.78,...

READ MORE