×

Kipa Simba Azipambanisha Azam, Singida Azungumza na Spoti Xtra

BAADA ya mkataba wake kugota mwisho ndani ya kikosi cha Simba, kipa Beno Kakolanya ameziingiza vitani Azam FC na Singida...

READ MORE

Exclusive Video: Muathirika Vyeti Feki Asimulia Alivyoingia Serikalini Hadi Kutumbuliwa -“Nilikuwa Dereva”

Mwathirika wa Sakata la vyeti feki ambaye ni mkazi wa Dodoma amefunguka na kueleza mwanzo mwisho jinsi alivyotoka kuwa dereva...

READ MORE

Mdau Ashirikiana na Bodaboda Kujenga Choo, Afichua Mipango Yake – Video

Katika kile kinachoonekana ni kuwasaidia vijana wenzake wa Muheza, Hamisi Sadiki Rajabu amekamilisha ndoto ya siku nyingi ya Waendesha Pikipiki...

READ MORE

Baada Ya Kuachwa… Mkude Atoa Tamko Zito Simba, Amtaja MO Dewji

MARA baada ya kutangazwa rasmi kutokuwa sehemu ya Simba kwa msimu ujao, aliyekuwa kiungo wa timu hiyo, Jonas Mkude amefunguka...

READ MORE

Kiungo Fundi Kupewa Jezi Ya Fei Toto Yanga

MASHABIKI wa Yanga walishamsahau kiungo wao Feisal Salum ‘Fei Toto’ na sasa wajiandae kumuona mbadala wake mpya katika timu hiyo,...

READ MORE

Live: Maadhimisho Ya Kitaifa Ya Siku Ya Kupiga Vita Dawa Za Kulevya Duniani- Arusha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga...

READ MORE

Wanne wakamatwa China kwa Kuhusika na tukio la Mlipuko

POLISI wa China wamekamata watu wanne waliohusishwa na mlipuko katika mgahawa ambao uliua watu kadhaa, vyombo vya habari vya serikali...

READ MORE

Bilionea wa Microsoft Atua Bongo Kufanya Royal Tour

  Mmoja wa wanahisa wa kampuni mashuhuri duniani ya Microsoft na akihudumu kwa miaka 14 kama Mtendaji Mkuu wa Masuala...

READ MORE

Kituo cha Uwekezaji (TIC), Kampuni ya Sukari Kilombero Wasaini Mkataba wa Utekelezaji

Juni 23, 2023, Serikali ilishuhudia utiaji saini wa mikataba ya utekelezaji kati ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na wawekezaji...

READ MORE

CAF Super League Kutimua vumbi Mwezi Oktoba Mwaka Huu

Rais wa Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) Patrice Motsepe amethibitisha kuwa michuano ya African Super League itaanza kutimua vumbi...

READ MORE

Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan ashiriki katika Tamasha la Vyakula vya Baharini (Zanzibar Seafood Festival)

Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan ashiriki katika Tamasha la Vyakula vya Baharini (Zanzibar Seafood Festival) Kendwa Mkoa wa Kaskazini Unguja,...

READ MORE

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (mstaafu) IGP Said Ally Mwema azindua kitabu chake kinachokwenda kwa Jina Utawala na Usimamizi wa Sheria Tanzania

Aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (mstaafu,) Tanzania IGP Said Ally Mwema jana june 23,2023 amezindua kitabu alichokiandika chenye Sura...

READ MORE

Yanga Yawafanyia Kitu Mbaya Waarabu Kuuboresha Mkataba wa Mayele

IMEFAHAMIKA kuwa Yanga juzi ilianza mazungumzo na mshambuliaji wake Mkongomani, Fiston Mayele huku ikipanga kuuboresha mkataba wake mpya watakaompa ili...

READ MORE

Musukuma Amkataa Mteule Wa Rais Samia – “Hatumtaki, Kama Mzuri Mchukue Wewe” Atema Nyongo…

Mbunge wa Geita vijijini Joseph Kasheku ‘Musukuma’ amesimama na kutoa ya moyoni kuhusu afisa mmoja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania...

READ MORE

FAR Rabat Bingwa Ligu Kuu Ya Morocco Yaivua Wydad Casablanca

Klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco imevuliwa ubingwa wa ligi Kuu Morocco na FAR Rabat ambao ndio Mabingwa wapya wa...

READ MORE

Hicho Chuma Kilichosaini Simba, Mtatafutana Asubiria Utambulisho

DEAL done! Ndiyo utakavyoweza kusema kwa beki kushoto wa Ihefu FC ya Mbalari, Mbeya, Yahya Mbegu ambaye usajili wake umekamilika...

READ MORE

Titan: Harakati za kutafuta sababu zilizochangia nyambizi kupasuka zaanza

Nahodha wa zamani wa manowari ya Royal Navy Ryan Ramsay ametaja baadhi ya sababu ambazo huenda zilipelekea nyambizi ya OceanGate...

READ MORE

Polisi Kutoka Ujerumani na Thailand wabadilisha Uzoefu katika Maswala ya Polisi Jamii

Askari Polisi kutoka Ujeruman na Thailand wametoa uzoefu wao katika maswala ya Polisi Jamii na namna ambavyo wanatoa huduma kwa...

READ MORE

Hatimaye Mwanafunzi Aliyepotea Mbeya Apatikana

Mwanafunzi Ester Noah Mwanyiru aliyepotea kwa muda wa siku 20 tangu asubuhi ya tarehe 18 Mei 2023 hatimaye amepatikana ndani...

READ MORE

Erasto Nyoni Kukipiga Namungo Msimu Ujao

Baada ya Wekundu wa Msimbazi Simba kumpa mkono wa kwaheri mchezaji wao Erasto Nyoni hapo jana, Mapema hii leo Nyoni...

READ MORE