×

Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Mwinyi  Afungua Ubalozi Mdogo wa UAE

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi  amefungua Ubalozi mdogo wa Umoja wa Nchi ya...

READ MORE

CRDB Yaingia Mkataba wa Makubaliano na ICTC na COSTECH Kuwezesha Biashara Changa

    Katika mwendelezo wa kusaidia jitihada za Serikali kukuza ujumuishi wa kiuchumi nchini, Benki ya CRDB leo imeingia mkataba...

READ MORE

Mwezi Februari Umekuwa Mtamu Sana kwa Washindi Hawa wa Meridianbet

  Mwezi wa Pili umekuwa mwezi mzuri sana, ambapo Meridianbet imetangaza na kuwapongeza washindi wawili (2) waliojishindia mamilioni ya pesa...

READ MORE

Rais Dk. Mwinyi Akutana na Askofu Mkuu wa Kanisa La Waadventista Wasabato Tanzania

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi  amekutana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista...

READ MORE

CBE Yatamba Kuzalisha Wahitimu Walio Tayari Kwa Soko la Ajira

  CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimesema mpango wa kuwasaidia wanafunzi wajasiriamali kuendeleza biashara zao au kuatamia mawazo ya...

READ MORE

Bernard Morrison Kwa mara ya Kwanza Afunguka Mazito Yanga

WINGA wa Yanga, Bernard Morrison kwa mara ya kwanza amefunguka suala lake la kukaa nje kwa muda mrefu ambapo amebainisha...

READ MORE

Simba Kukwaa Kisiki Kingine Kesho Dhidi ya Azam Uwanja wa Mkapa, Dar

MASTAA wa Simba kesho wanatarajiwa kukwaa kisiki kingine kwa kumenyana na Azam FC ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara...

READ MORE

Kili International Marathon Watangaza Barabara Zitakazofungwa Jumapili

ZIKIWA zimebakia siku chache kabla ya kufanyika mbio maarufu za Kilimanjaro Premium Lager International Marathon kwa mwaka wa 2023, waandaaji...

READ MORE

Mama Mariam Mwinyi Apongezwa Na UVCCM, Kujipanga Na Matembezi Ya Miaka 60 ya Mapinduzi ZNZ Mwakani

Mlezi wa Matembezi ya  UVCCM ya  Mapinduzi  ya Zanzibar,  Mke wa Rais Zanzibar, Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora...

READ MORE

AU yaendelea kuzitenga nchi nne za Afrika zinazotawaliwa na jeshi

Umoja wa Afrika Jumapili umesisitiza kuwa una sera ya kutovumilia mabadiliko yanayokiuka katiba, huku ukiendelea kusimamisha uanachama wa nchi nne...

READ MORE

Marekani yatoa dola milioni 100 kuzisaidia Uturuki na Syria kukabiliana na athari za tetemeko la ardhi

Marekani inatoa dola zingine milioni 100 kama msaada wa kibinadamu kwa Uturuki na Syria kuzisaidia nchi hizo mbili kukabiliana na...

READ MORE

Benki Absa Yaboresha Mkopo wa Nyumba, Yaingia Makubaliano na NHC

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angeline Mabula amefika katika jengo la Morocco Square kuzindua Huduma ya...

READ MORE

Sitasahau Jinsi Mchumba Wangu Alivyotupiwa Jini na Ndugu Zake ili Nisimuoe

  JINA langu ni Ally kutokea Dodoma, Tanzania, nina mchumba wangu ambaye tupo kwenye mahusiano kwa mwaka wa nane huu,...

READ MORE

Waziri Aweso Atua London Kwenye Mkutano Maalum wa Maji Duniani

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso amefika London Uingereza na kuanza kwa kusaini kitabu cha wageni na kutoa salam katika...

READ MORE

Benki Ya NCBA Tanzania Yajipanga Kupanua Wigo Katika Sekta Muhimu Za Kiuchumi

Dar es Salaam: Benki ya NCBA Tanzania, taasisi ya kifedha inayoongoza nchini, imetangaza mipango yake ya kutanua shughuli zake ili...

READ MORE

Bodi ya Wakurugenzi ya Akiba Commercial Bank PLC (ACB) Yapata Mwenyekiti Mpya

Bodi ya Wakurugenzi ya Akiba Commercial Bank Pic (ACB) inapenda kutangaza uteuzi wa Mwenyekiti wake mpya, Bi. Catherine N. Kimaryo....

READ MORE

Yanga Wawataja Watakaowamaliza Mazembe leo Jumapili kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar

WAKATI Yanga ikiwa na kazi ya kusaka ushindi leo kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi dhidi...

READ MORE

Korea Kaskazini Yarusha Kombora la Masafa Marefu Karibu na Ufukwe wake wa Mashariki

Korea Kusini na Japan zimesema Jumamosi kwamba Korea kaskazini imerusha kombora la masafa marefu karibu na ufukwe wake wa mashariki,...

READ MORE

Fahamu Historia Ya Vannesa Mdee, Kuzaliwa, Elimu, Muziki, Mapenzi Yakavuruga Ubongo Wake – Video

KATIKA ‘Brain Food’ leo tunakupa historia ya mwanamuziki Vannesa Mdee kutoka Tanzania ambaye kwa sasa ameamua kuacha muziki.

READ MORE

Watoto Wenye Ulemavu Na Wasiojiweza Bagamoyo Wafutwa Machozi Na Tete Foundation

18 Februari 2023:Watoto wenye ulemavu na wasiojiweza wa Kituo cha Hopes kilichopo Miono Bagamoyo Pwani, wamefutwa machozi na Taasisi ya...

READ MORE