

Rais Kikwete kutumia ukurasa wake wa instagram amepost picha nne akiwa shambani kwake Msoga Chalinze katika shamba la mahindi wakivuna, Kikwete alikuwa akivuna na mkewe Mama Salma Kikwete.

Picha za mstaafu huyo ambaye ni kipenzi cha Watanzania zimekua gumzo mitandaoni na kusambaa kwenye magrupu ya WhatsApp huku kila mtu akifurahia kuona wastaafu wengi wakijituma na kuelekeza nguvu zao kwenye kilimo na wengine mifugo.

VARANGATI: Mgomo wa Daladala DAR Yasimama, Madereva Watoa Yamoyoni
Usipitwe na Matukio, Install ===>Global Publishers App


