Picha za Ziara ya Rais Samia Nchini Norway baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Februari 13, 2024 amefanya Ziara nchini Norway na amemtembelea Mfalme Harald V wa Norway pamoja na Malkia Sonja katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo.