The House of Favourite Newspapers

Pichaz: Wema Sepetu Awateka Mashabiki Wake Upya

Supastaa wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu.

SUPASTAA wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu leo ametupia picha mpya kwenye akaunti yake ya Mtandao wa Instagram, zikimuonesha akiwa na mwonekano mpya ambapo muda mfupi baadaye, mashabiki zake walianza kutoa maoni yao, wengi wakionesha kufurahishwa na mwonekano wake mpya.

Mashabiki hao wamembatiza Wema kwa jina jipya, wakimuita Malkia wa Instagram Tanzania au mwenye insta yake kaja.

KINGUNGE ASEMA CCM NI CHAMA CHAKE

Comments are closed.