The House of Favourite Newspapers

Pikipiki ya Maajabu: Ukijaribu Kuiba Unakufa, Ina Mwaka Barabarani – Video

0

GLOBAL TV imefunga safari mpaka Magomeni jijini Dar, kushuhudia pikipiki inayohusishwa na Ushirikina ambayo imewekwa kituo cha daladala kwa zaidi ya mwaka mzima na haijawahi kuibiwa.

Tumezungumza na mmiliki wa pikipiki hiyo, Athuman Bakari, ambaye ameelezea alichokifanya kwenye pikipiki hiyo hadi haiwezi kuibiwa tangu alipoiacha kituoni hapo.

Leave A Reply