Rais Magufuli Amteua Dkt. Mwinuka Kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO
Share
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 17 Januari, 2018 amemteua Dkt. Titus Mwinuka kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).
Comments are closed.