Rais Magufuli Aongoza Kikao Cha Kamati Kuu Dodoma Leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli leo Agosti 19, 2020 ameongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM mkoani Dodoma.