Rais Samia Afanya Mazungumzo na Mjumbe Maalum wa Rais wa Burundi
Rais Samia leo Mei 21, 2021 amekutana na Mjumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Burundi, Balozi Ezechiel Nibigira Waziri anayeshughulikia Masuala ya Afrika Mashariki, Vijana, Michezo na Utamaduni wa Burundi mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam.