The House of Favourite Newspapers

Rais Samia Ahutubia Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabia Nchi (COP28), Dubai

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP28) unaofanyika Dubai katika Falme za Kiarabu tarehe 01 Desemba, 2023.

Rais Samia Suluhu Hassan, amehutubia Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabia Nchi (COP28), Dubai ambapo pamoja na mambo mengine, amesisitiza umuhimu wa nchi zote duniani kuongeza nguvu katika kutunza mazingira.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakati wakishiriki moja ya Mikutano kando ya Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP28) unaofanyika Dubai katika Falme za Kiarabu tarehe 01 Desemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa na ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP28) unaofanyika Dubai katika Falme za Kiarabu tarehe 01 Desemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akitoka kwenye Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP28) unaofanyika Dubai tarehe 01 Desemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Rais wa Falme za Kiarabu na Mtawala wa Abu Dhabi  Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan(kulia) pamoja na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa  António Guterres (kushoto) wakati wa Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP28) katika Jiji la Dubai Expo tarehe 01 Desemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Viongozi wa nchi mbalimbali Duniani wakati wakielekea kwenye Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP28) unaofanyika katika Jiji la Dubai Expo tarehe 01 Desemba, 2023.

Leave A Reply