Rais Samia Aongoza Zoezi La Kuagwa Kwa Teddy Mapunda (Picha +Video)
RAIS Samia Suluhu Hassan, leo Mei 09 ameshiriki katika ibada kuuaga mwili wa aliyekuwa mmiliki wa kampuni ya uratibu na matukio, Teddy Mapunda.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx