The House of Favourite Newspapers

Rais Samia Awasili Paris Nchini Ufaransa

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili Paris nchini Ufaransa kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali utakaojadili kuhusu rasilimali bahari duniani.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasili Paris nchini Ufaransa kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali utakaojadili kuhusu rasilimali bahari duniani.

Leave A Reply