Rais wa Zanzibar amefanya uteuzi wa Makatibu wakuu, Naibu Makatibu na Mhasibu Mkuu wa Serikali
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi amefanya uteuzi wa Makatibu wakuu, Naibu Makatibu na Mhasibu Mkuu wa Serikali.