Rich Mavoko, Chidi Benzi, Lulu Diva, Weusi Wafunika Fiesta Mtwara – Video
ZAIDI ya wasanii 10 usiku wa kuamkia leo Jumapili 3, 2019 mkoa wa Mtwara wametoa burudani ya aina yake katika tamasha la Tigo Fiesta Saizi Yako, lililofanyika katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona.
Mastaa waliopanda kwenye jukwaani ni Rich Mavoko, Chidi Benzi, Lulu Diva, Nandy kundi la WEUSI na wengine wengi.
PICHA NA MUSA MATEJA | GPL
Comments are closed.