Tamko hilo la serikali limetolewa Mjini DODOMA na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa -TAMISEMI George Simbachawene na kusisitiza kuwa viongozi wa mikoa na wilaya kusaidia viongozi wa vyama vya walemavu kufanikisha maadhimisho hayo.
CREDIT: TBC
Comments are closed.