Rais Samia Aongoza Sherehe Za Maadhimisho Ya Miaka 60 Ya Muungano, Uwanja Wa Uhuru, Dar – (Picha +Video)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki maadhimisho ya kiaka 60 ya Muungano leo tarehe 26 Aprili, 2024 katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam