Simba Yashindwa Kuifunga Nyundo FC
Mchezo wa kirafiki kati ya Nyundo FC ya Katavi dhidi ya Simba SC, uliopigwa ndani ya Uwanja wa Azimio uliopo Mpanda, Katavi jioni ya leo, umemalizika kwa timu hizo mbili kutofungana.
Mchezo huo ukiendelea kwa timu hizo kumenyana vikali.
Mashabiki wakifuatilia mchezo huo.
(PICHA: MUSA MATEJA/GPL -KATAVI)