Suge Knight Ahukumiwa Miaka 28 Jela Kwa Kugonga na Kuua
RAPA wa zamani, Marion “Suge” Knight amehukumiwa kifungo cha miaka 28 kwa kumgonga mtu kwa gari na kumuua na kumjeruhi mwingine halafu akatoroka.
Mwanamuziki na rapa huyo maarufu mwenye umri wa miaka 53 alimgonga mfanyabiashara Terry Carter huko Compton, California.
Katika kesi hiyo, Suge alinusurika kuhukumiwa kifungo cha maisha.
Comments are closed.