Lengo la KISOMO hiki ni kumuomba Mwenyezi Mungu aweze kuleta wepesi kwenye matatizo yaliyompata Mlezi na Mwekezaji wetu Bw. Mohammed Dewji “MO”
Tunapenda kuwakaribisha katika Kisomo hiki muhimu ili kumuomba Mungu aweze kumlinda na kumrejesha Mwenzetu salama.
Tunatanguliza Shukrani.
Comments are closed.