×

Tag: ajali

Ajali ya Basi la Mohammed Trans Yaua Watatu Manyoni, Singida

TAARIFA zilizotufikia hivi punde, zinaeleza kuwa basi la Kampuni ya Mohammed Trans limepata ajali mapema leo na kuua watu 3...

READ MORE

Ticha Afa Ajalini Akifuatilia Kadi ya Bima Ya Afya

Wananchi wakimuaga marehemu, Janeth Francis Songo alikuwa mwalimu wa Shule ya Msingi Maluga iliyopo Wilaya ya lramba mkoani Singida. Stori:...

READ MORE

Ajali; Ndege Iliyobeba Wanasoka wa Brazil Yaanguka Colombia, Yaua 76, Watano Wanusurika 

Mabaki ya ndege iliyoanguka. Kabla ya kuanza safari timu hiyo ilipiga selfie hizi. Ndege iliyoanguka hii hapa. Mmoja wa wachezaji...

READ MORE

Picha&Video: Basi na Lori Vyateketea Baada ya Kugongana Kimara, Dar

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 20 wakijeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Safari Njema lililokuwa likitokea mkoani Dodoma...

READ MORE

Basi la Hood Lagongana na Lori na Kupinduka Mlima Kitonga

IRINGA: Basi la abiria ambalo ni mali ya Kampuni ya Hood linalofanya safari zake kati ya Mbeya na Arusha jana ...

READ MORE

Watu 7 wafariki baada ya fuso na tenka la mafuta kugongana Moro

WATU saba wamepoteza maisha huku mwingine mmoja akijeruhiwa vibaya baada ya lori lililokuwa likisafirisha nyanya aina ya fuso kugongana na...

READ MORE

Ajali Yaua 11 Na Kujeruhi 7 Mwanza

Mashuhuda wakiwa eneo la tukio. Hiace ikiwa imeharibika vibaya baada ya ajali hiyo.Baada ya ajali hiyo.   Baadhi ya mashuhuda...

READ MORE

Basi La Timu Lapinduka Na Kuua Wanne

Mwonekano wa basi baada ya kupata ajali likiwa bado eneo la tukio. NORTH CAROLINA, MAREKANI. Watu wanne wamefariki dunia baada...

READ MORE

Madereva Waliotekwa Na Waasi Nchini DRC, Waachiwa

Baadhi ya malori yaliyochomwa moto na waasi hao siku walipowateka madereva. Chama cha Wasafirishaji wa Malori nchini Tanzania – TATOA...

READ MORE

Ajali Yaua 1 Maeneo ya Mlimani City Dar

Usiku wa kuamkia leo Agosti 19 maeneo ya mataa yaliyopo kati ya Mlimani City na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)...

READ MORE

Ajali Yaua 25 Singida

Watu 25 wamefariki dunia, huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya mabasi mawili kugongana huko wilayani Manyoni mkoani Singida. Mabasi hayo...

READ MORE

Ajali ya Magari 3 Yaua 11 Dakawa, Moro

Habari zilizotufikia hivi punde ni kuhusu ajali mbaya iliyotokea eneo la Veta Dakawa mkoani Morogoro ikihusisha basi la Kampuni ya...

READ MORE

Ajali: Lori la Dawasco Laparamia Kituo cha Mabasi Dar

Gari  lenye namba za  usajili T 369 BUZ linalomilikiwa na DAWASCO likiwa limeparamia kituo cha mabasi baada ya gari hilo...

READ MORE

Abiria Wajeruhiwa Katika Ajali ya Daladala Dar

Pichani juu ni taswira za ajali hiyo. Watu kadhaa wamejeruhiwa leo mchana katika ajali ya daladala lililopinduka wakati likijaribu kumkwepa...

READ MORE

Wawili wafariki baada ya gari kuzama baharini

Kikosi cha Uokoaji kikiopoa mwili wa mmoja wa watu waliokuwa kwenye gari hilo. WATU wawili wanasadikiwa kufariki dunia baada ya...

READ MORE

Gari ndogo zagongana na kujeruhi watu Bamaga, Dar

Mojawapo ya magari yaliyohusishwa katika ajali iliyotokea leo asubuhi eneo la Bamaga, Dar likiondolewa eneo la ajali. Magari yaliyohusishwa kwenye...

READ MORE

Ajali yaua watano na kujeruhi nane Bagamoyo

    Pichani juu ni taswira mbalimbali kutoka eneo hilo la ajali. WATU watano wamefariki dunia huku wengine nane wakijeruhiwa, katika...

READ MORE

Taswira za ajali ya Basi la Leina lililojeruhi 30 jana

BASI la Leina Tours lililokuwa likitokea Kahama kuja Dar es Salaam jana usiku liliacha njia na kutumbukia katika mtaro eneo...

READ MORE

Ajali yaua 50 Ghana

Takriban watu 50 wamefariki dunia katika ajali mbaya ya barabarani kuwahi kutokea nchini humo katika kipindi cha miaka mingi. Basi...

READ MORE

Ajali ya basi na lori yaua 11 Tanga

WATU 11 wamepoteza maisha  huku 29 wakijeruhiwa baada ya basi la abiria la Simba Mtoto lililokuwa linakuja jijini Dar es...

READ MORE

Wawili wafariki, 36 wajeruhiwa katika ajali Morogoro

Basi la BM lenye namba za usajili T619 BOX baada ya kugongana na lori leo eneo la Lubungo Mikese, barabara...

READ MORE

Watu 331 wafariki dunia mkoani Mbeya kwa ajali za barabarani 2015

Jumla ya watu 331 wamepoteza maisha kutokana na ajali za barabarani mkoani Mbeya katika kipindi cha mwaka 2015 ikiwa ni...

READ MORE

Picha za ajali ya Mabasi mawili na Lori moja Jijini Mbeya leo

Ajalia ilivyotokea.…hali ya sintofahamu Magari matatu yamepata ajali mkoani Mbeya leo asubuhi, ajali iliyohusisha basi la Kampuni ya Hood linalofanya...

READ MORE

Ajali ya basi yaua 12 na kujeruhi 22 Iringa

Taswira kutoka eneo la ajali. WATU 12 wamepoteza maisha huku wengine 28 wakijeruhiwa leo baada ya basi la New Force...

READ MORE

Ajali ya treni na basi yaua 18 Indonesia

Takribani watu 18 wamepoteza maisha huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya treni ya abiria kugongana na basi huko Jakarta nchini...

READ MORE

Gari la Mwananchi lapata ajali mbaya Kitonga

Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Gari iliyokuwa imebeba Magazeti ya Mwananchi, The Citizen na Mwanaspoti kwenda mkoani Mbeya imepata...

READ MORE

Basi lagongana na lori na kuua watu Singida

WATU 12 wamekufa papo hapo na wengine 18 kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Taqbir kugongana na lori la...

READ MORE

Kwa staili hii, ajali hazikomi!

Lori lenye kontena ambalo halijafungwa vizuri likiwa barabarani. Dereva akiendelea na safari bila kujali hatari yoyote. Safari ikiendelea. Katika hali isiyo...

READ MORE