Siku 28 tu, Amunike Atimuliwa El Makkasa ya Misri
Klabu ya El Makkasa ya nchini Misri imemfuta kazi aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo, Emmanuel Amunike kutokana na mfululizo wa matokeo yasiyoridhisha ikiwa ni mwezi mmoja tu tangu ateuliwe kushika nafasi hiyo.
Amunike…
