×

Tag: Celebrities

MALAIKA AELEZA KUPOTEA KIMUZIKI, KUMWANIKA MPENZI WAKE

KAMA wewe ni mdau wa Muziki wa Bongo Fleva na hakuna ‘hits song’ ambayo imekupita, bila shaka masikio yako yatakuwa...

READ MORE

PICHA YA WANJARA, MWANAMKE MWENZIYE YAZUA UTATA

MREMBO aliyewahi kushikilia Taji la Miss Mara mwaka 2000, Rashida Wanjara hivi karibuni alizua gumzo la aina yake baada ya...

READ MORE

UWOYA ULITAKA NDOA MWENYEWE, TULIA SASA !

Irene Uwoya. KWAKO muigizaji wa sinema za Kibongo, Irene Uwoya. Habari za siku, mambo yanakwenda vizuri? Bila shaka u-mzima wa...

READ MORE

KUVISHWA PETE YA UCHUMBA, SIRI 3 KILIO CHA LULU ZAFICHUKA

BAADA ya wikiendi iliyopita staa ‘grade one’ wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kuvishwa pete ya uchumba na bosi...

READ MORE

PRETTY ACHEKELEA PENZI LA MOBETO, DIAMOND KUVUNJIKA

SIKU chache baada ya mwanamitindo, Hamisa Mobeto kuanika ukweli kwamba penzi lake na mzazi mwenzake ambaye ni msanii wa Bongo...

READ MORE

JB AKATAA KUWA MRITHI WA MZEE MAJUTO

LICHA ya mashabiki wengi kudai kwamba anayestahili kuchukua nafasi na kuwa mrithi wa aliyekuwa staa maarufu wa vichekesho Bongo, marehemu...

READ MORE

BAADA YA KUMPA JEURI YA FEDHA KIGOGO AMMWAGA LULU DIVA

DAR ES SALAAM: MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ anadaiwa kuwa katika wakati mgumu baada ya kigogo (jina...

READ MORE

USICHOKIJUA MABAUNSA WA MASTAA WA KIKE

HILI halikuwepo huko nyuma! Kwamba umkute staa wa kike yuko na bausa, ilikuwa ni jambo adimu sana, lakini sasa hivi...

READ MORE

MTOTO WA PILI ARUDISHA NDOA YA ESHA BUHET

MWIGIZAJI wa filamu Bongo, Esha Buhet amefunguka kuwa mtoto wake wa pili aitwaye Claribel amerudisha ndoa yake iliyokuwa imeshavunjika na...

READ MORE

SABBY ANGEL APIGWA NDOA YA 5

BUYU raha yake uupate ukiwa wa moto kutoka jikoni na siyo ule uliokaa juani ambao haunogi ukiumun’gunya! Ubuyu uliopo mezani...

READ MORE

BIRTHDAY YA WEMA USIPIME

USIKU wa kuamkia leo, Miss Tanzania 2006 na staa wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu, aliangusha pati ya kusherehekea siku...

READ MORE

DIAMOND , WIZKID ‘WAVALIANA VIATU ’

MSANII maarufu wa muziki Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ni msanii aliyevuma sana kutokana na skendo mbalimbali za ngono sambamba na...

READ MORE

USIYOYAJUA KUHUSU ZABIBU KIBA, SAUZ YA ANIKWA!

LAZIMA unaijua ile ishu kuwa dada wa msanii maarufu Bongo, Ali Salehe Kiba, Zabibu Kiba a.k.a Mrs Banda siku hizi...

READ MORE

SNOOP DOGG APATA MJUKUU WA KIKE

MKONGWE wa Muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Snoop Dogg amepata mjukuu wa kike akiwa na umri wa miaka 46,...

READ MORE

CHRIS BROWN, RITA ORA SIO SIRI TENA

BAADA ya kukaa kwa muda mrefu bila kumuweka hadharani mwanamke anayetoka naye kimapenzi, mkali wa muziki wa R&B nchini Marekani,...

READ MORE

RAYVANNY: MGAHAWA WA JUISI ULINIFANYA NIMPATE FAYMA

MPENZI msomaji tunazidi kutiririka katika safu yetu hii yenye kuvutia, ambapo wiki iliyopita tulikuwa na mwanamuziki wa kizazi kipya Bongo,...

READ MORE

SEPTEMBA CHUNGU KWA MASTAA HAWA

FEBRUARI, mwaka jana, ilikuwa chungu kwa mastaa wengi wa filamu na Bongo Fleva baada ya kutajwa na Mkuu wa Mkoa...

READ MORE

BEN POL ATOBOA SIRI YAKE NA MONALISA

STAA wa Muziki wa R&B, Benard Paul ‘Ben Pol’ ametoboa siri yake na mkongwe wa filamu Bongo, Yvonne Cherrie ‘Monalisa’...

READ MORE

WAMEKUZA ‘VISU’ BILA WANAUME!

WATU wengi huamini kwamba malezi bora ya watoto hutoka kwa wazazi wote wawili yaani baba na mama. Mtoto anapolelewa na...

READ MORE

BUSHOKE KUMFANYIA SAPRAIZ NYOSH EL SADAAT DAR LIVE

PATAKUWA hapatoshi! Wakati mashabiki wengi wa Muziki wa Dansi wakiwa tayari kusubiri utambulisho wa Bendi ya Bogos, msanii wa Muziki...

READ MORE

KIKI HIZI DIAMOND THIS IS TOO MUCH

SITAKI kumuongelea sana Rajabu Abdulkhali ‘Harmonize’ anayewakilisha Wasafi Classic Baby (WCB) aliyetoka kimuziki 2016 na Wimbo wa Aiyola kisha Bado...

READ MORE

RPC MBEYA: UWOYA TUMEMTIA MBARONI

BAADA ya kusambaa kwa taarifa ya kukamatwa kwa staa wa sinema za Kibongo, Irene Pancras Uwoya na wenzake, Kamanda wa...

READ MORE

WALIPENDANA, WAKAFURAHIANA SASA WAMEBAKI NA MAKOVU

MAPENZI ni kikohozi kukificha huwezi! Na siku zote unapopenda unaweza kufanya lolote ili tu umfurahishe yule uliyenaye aone tu thamani...

READ MORE

NANDY APATA MPENZI MWINGINE

MSANII wa Bongo Fleva ambaye anafanya vizuri na ngoma yake ya Aibu, Faustine Charles ‘Nandy’ amefunguka kwamba kwa sasa hana...

READ MORE

TUNDA AMFUNGUKIA ALIYEDAIWA BWANA’KE

BAADA ya picha akiwa anazu-ngumza na mwanaume kwenye Mtandao wa Snapchat kusambaa mitandaoni na kudaiwa kuwa ndiye bwana’ke mpya, video...

READ MORE

MAMISI KUVAMIA GEMU LA MUZIKI SABABU HIZI !

KWA miaka ya hivi karibuni tumekuwa tukiona warembo wengi wa kike wakijiingiza katika kuuza nyago ‘video queen’ kwenye video za...

READ MORE

DAYNA AJUTA SAFARI ZA ULAYA

 HITMAKER wa Ngoma ya Salama, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’ amesema kuwa, anajuta kusafiri Ulaya kwani kumemfanya kurudi upya kwenye gemu...

READ MORE

KUJIFICHA KWAMPA HESHIMA BATULI

STAA wa sinema za Kibongo mwenye mvuto mbele ya kamera, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ amevunja ukimya kwamba, kutoonekana kwake muda mrefu...

READ MORE

DIANA KIMARI ADAIWA KUKACHA KANISA!

UBUYU ukimpa asiye na meno, kamwe hawezi kumung’unya, raha yake mpe mwenye meno yote 32! Ubuyu uliotua kwenye meza ya...

READ MORE

SIRI WEMA KUMFUNIKA MOBETO YAFICHUKA

BAADA ya kuwepo kwa mvutano wa nani anastahili kuwa mrembo bora wa Tanzania (Tanzania Sweetheart) kati ya Hamisa Mobeto na...

READ MORE

LYNN ABANWA KUMPIKU MOBETO KWA MONDI

MUUZA nyago (video queen) aliyewahi kuuza sura kwenye Wimbo wa Kwetu wa Msanii Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ wa Lebo ya Wasafi...

READ MORE

CALISAH AJITAPA KWA UFUSKA!

MWANAMITINDO asiyeishiwa skendo mjini, Calisah Abdulhamid amefunguka kwa mara nyingine tena kuwa katika ukuaji wake mpaka sasa alipofikia ameshatembea na...

READ MORE

BRANDY; MTOTO WA NYOSHI EL SAADAT ALIEVAMIA ‘GAME’

UPO msemo kuwa mtoto wa nyoka ni nyoka! Yaani anachofanya baba au mama basi na mtoto naye anaweza kufuata nyayo...

READ MORE

NANDY: NAACHA MUZIKI 2020

MSANII wa Bongo Fleva, Faustine Charles ‘Nandy’ anatarajia kuacha kazi ya muziki ifikapo mwaka 2020 na badala yake atajikita kwenye...

READ MORE

KUMBE DRAKE NI MZEE WA DOGODOGO

RAPA maarufu nchini Marekani, Aubrey Graham ‘Drake’ ajakauka midomoni kwa watu baada ya kusambaa kwa picha yake akiwa na msichana...

READ MORE

KIKI YA UWOYA, DOGO JANJA YAFIKA MWISHO

WAFUATILIAJI wa habari za mastaa Bongo, watakumbuka wakati ule mastaa wa Bongo, Irene Uwoya na mwenziye Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’...

READ MORE

FUNDI NGUO ALIYEVUTA MKOKO KWA KUMSHONEA WEMA

MAISHA ni kama karata, ukijua kuzichanga na kucheza vizuri na Mungu akashusha baraka zake, hakika utafurahia matunda ya mikono yako.  Kijana...

READ MORE

UGONJWA WA DOGO JANJA UWOYA ATAJWA

UKURASA wa maisha ya ndoa ya Dogo Janja na Irene Uwoya uko wazi, unasomeka mengi wanayoyapitia mastaa hao; kubwa kabisa...

READ MORE

MUNA ABURUZWA POLISI NA MAMA’KE

BADO mambo ni moto! Mama mzazi wa mwigizaji wa filamu za Kibongo, Rose Alphonce Nungu almaarufu Muna Love, Ritha Rabia...

READ MORE

WOLPER AMWAGA MATUSI KISA MUNA

MUIGIZAJI mwenye jina kubwa Bongo, Jacqueline Wolper ‘Wolper’ ameshindwa kujizuia na kujikuta akiporomosha matusi baada ya kuulizwa anazungumziaje sakati la...

READ MORE