The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

hans pope

Mwili wa Hans Pope Wazikwa Iringa

MWILI wa aliyekuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Klabu hiyo, Zakaria Hans Pope umepumzishwa katika nyumba yake ya milele eneo la Kihesa Mkimbizi mkoani Iringa jana Jumatano…

Hans Pope Kuagwa Leo Karimjee

Mwili wa Marehemu Zakaria Hans Poppe utaagwa leo Septemba 13, katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam ambapo Wanasimba na wapenda soka na Watanzania kwa ujumla watapata fursa ya kutoa heshima zao za  mwisho.

Hans Pope Amekamatwa na TAKUKURU

MWENYEKITI wa zamani wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba, Zacharia Hans Pope,  amekamatwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam…

Hans Poppe Huyu Hapa

MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe anatafutwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ili arudishwe nchini na kujibu tuhuma zinazomkabili.   Kupitia ndugu zake, Championi limempata na kusikia…