The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Ibrahim Ajibu

Ajibu, Gadiel Bye Bye Simba

INAELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa Simba, Didier Gomes Da Rosa ameueleza uongozi wa timu hiyo kuachana na kiungo mshambuliaji Ibrahim Ajibu na beki wa kushoto, Gadiel Michael kutokana na kutofurahishwa na uchezaji wao. Simba kwa…

Ajibu, Manula Mambo Safi Simba

WACHEZAJI wa Simba, mlinda mlango, Aishi Manula na kiungo mshambuliaji, Ibrahim Ajibu wanajiunga na kikosi hicho baada ya kutoka kwenye majeraha huku mshambuliaji Wilker da Silva hali yake ikiwa bado haipo sawa. Manula alipatwa na…

Ajibu: Hii ngoma bado mbichi

NAHODHA wa Yanga, Ibrahim Ajibu, amesema kuwa ngoma ya ubingwa bado mbichi, hivyo kasi yake lazima iendelee mpaka wapate kile wanachostahili kwenye Ligi Kuu Bara. Ajibu ndiye kinara wa kupiga pasi za mwisho akiwa nazo 16 na…

Ibrahim Ajibu amponza Ndemla

YANGA rasmi imesitisha mpango wake wa kumsajili kiungo mkabaji, Said Ndemla katika usajili wa msimu ujao huku kiungo mshambuliaji, Ibrahim Ajibu akitajwa kuwa ndiyo sababu. Timu hiyo, hivi karibuni ilielezwa kuwa kwenye…

Mkataba Wa Ajibu Wazuiwa Yanga

HATA atupie mabao matamu kiasi gani, mkataba wa nahodha wa Yanga, Ibrahim Ajibu hautaguswa wala kuongezwa mpaka msimu umalizike. Ajibu amekuwa akihusishwa kurejea Simba kutokana na mabosi wake wa zamani kukubali uwezo wake…

Ajibu Auwasha Moto Yanga SC

NAHODHA wa Yanga, Ibrahim Ajibu, amewataka wapenzi na mashabiki wa timu hiyo, kutokata tamaa kutokana na matokeo mabovu waliyopata kwenye mechi tatu zilizopita kwani wamepata dawa. Yanga ambayo ilicheza michezo 19 bila…

Ajibu Awatikisa Wazungu

KIUNGO wa Yanga Ibrahim Ajibu ameweka rekodi ya kipekee baada ya hadi sasa kuwa kinara wa pasi za mwisho (asisti) kwenye ligi kadhaa kubwa duniani. Ajibu anaongoza kwa kupiga pasi za mwisho kwenye Ligi Kuu Bara kwa sasa…

Sh 200m Kumng’oa Ajibu Yanga

IBRAHIM Ajibu ambaye mpaka sasa ndiye kinara wa asisti Ligi Kuu Bara akiwa kapiga sita katika mechi sita kwenye kikosi cha Yanga, tayari ameshawekwa sokoni rasmi baada ya meneja wake kutaja thamani ya mteja wake huyo. Ajibu…

Simba Wamfuata Ajibu

MENEJA wa straika kipenzi cha mashabiki wa Yanga, Ibrahim Ajibu ameweka wazi kwamba mteja wake anatakiwa na Simba. Ajibu ambaye anavaa jezi namba kumi, alijiunga na Yanga msimu wa 2017/18 akitokea Simba, lakini hakufanya makubwa…

Waarabu Wamsaka Ajib Bongo

BAADA ya kuwa na mafanikio msimu huu ndani ya Yanga, mshambuliaji Ibrahim Ajib anatakiwa na timu kutoka Uarabuni. Kijana huyo amekuwa ma­hiri msimu huu na hadi sasa ameshatoa pasi sita za mabao na kufunga mawili, akiwa…

AJIBU KAPATA MTOTO WA KIKE

Uongozi wa klabu ya Yanga umetangaza kuwa familia ya Mshambuliaji wake, Ibrahim Ajibu, imejaaliwa kupata mtoto wa kike. Ajibu alishindwa kusafiri na kikosi cha Yanga kuelekea Algiers, Algeria kwa ajili ya mechi ya mkondo wa…

Kumbe Hata Ajibu na Chirwa

KWA mujibu wa takwimu za umri wa wachezaji wa Yanga, zilizoko kwenye ofisi za CAF pale Misri ni kwamba kabla hata Ibrahim Ajibu na Obrey Chirwa hawajazaliwa, Yanga haikuwahi kupata rekodi nzuri mwezi huu wa Aprili dhidi ya Simba.…

Ajibu Aomba Radhi Yanga

BAADA ya kipigo cha penalti 5-4 dhidi ya URA, juzi mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajibu Migomba ameom­ba radhi kwa mashabiki wa timu hiyo kuto­kana na ma­tokeo ma­baya. Yanga ilion­dolewa kwenye michuano ya Kombe la…

Kichuya: Ajibu Siyo Mtu Mzuri

KA T I K A mechi mbili za mwisho za Simba katika Ligi Kuu Bara zilizo­chezwa hivi karibuni, Shiza Kichuya amei­fungia timu yake mabao mawili, huyu amekuwa mchezaji muhimu kikosini kwa sasa. Kichuya alifunga bao katika sare…