Mwanaume Mmoja Akutwa Amefariki Katika Bwawa Dogo Mjini Njombe
MWANAUME mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 mpaka 35 amekutwa amefariki katika Bwawa dogo lililopo katika Msitu wa TANWAT eneo la Kibena Mjini Njombe.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo ambao ni Walinzi katika…
