The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

maji

Aweso ‘Atumbua Jipu’ Katavu

Waziri wa Maji Jumaa Aweso amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira mjini Mpanda mkoani Katavi (MUWASA) Mhandisi Mikaya Gimbi, kwa madai ya kushindwa kusimamia utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa…

Shida ya Maji Dar Pasua Kichwa

UNAAMBIWA ni mwendo wa madumu tu katika baadhi ya maeneo ya Dar es Salaam kutokana na uhaba wa maji unaoendelea kutokana na kuwepo kwa mgawo wa maji jijini humo. Kwa takribani wiki sasa, kumeshuhudiwa katika baadhi ya…

Aweso Amgomea Jen. Mwamunyange

WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso amekataa ombi la Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira DAWASA, Jenerali Mstaafu Davis Mwamunyange lakutaka kupumzika kutoka katika nafasi hiyo mara baada ya utendaji wake mzuri katika…

Boti Yazama, 50 Wanusurika Kifo

ABIRIA zaidi ya 50 wamenusurika kufa baada ya boti yao iliyokuwa ikisafiri kutoka Kilindoni - Mafia kwenda Nyamisati - Kibiti kuzama jana Jumatatu, Desemba 30, 2019, asubuhi baada ya kuzidiwa na mawimbi. Mbunge wa Mafia,…