×

Tag: Mazishi

Mwili wa Rais Mugabe Wazikwa Kijini Kwao – Pichaz

Hatimaye mwili wa aliyekuwa Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe umezikwa jana Jumamosi, Septemba 28, 2019 kijijini kwake Kutama katika Wilaya...

READ MORE

Simanzi Nzito! Mazishi ya Mtoto wa Jen. Mabeyo – Pichaz

MAMIA ya wananchi kutoka mikoa ya Simiyu, Mara, Shinyanga, Mwanza na Dar es Salaam wameshiriki katika maziko ya mtoto wa...

READ MORE

Simanzi Afrika! Dj Arafat Azikwa Kitaifa Ivory Coast

Maelfu ya watu nchini Ivory Coast walikusanyika katika uwanja wa Felix Houphouet Boigny huko Abidjan kushiriki ibada ya kuaga mwili...

READ MORE

Msiba wa Vaileth Bukumbi…. DC Magu “Taifa Limepoteza Mpambanaji

MWILI wa dada wa Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, marehemu Vaileth James Bukumbi, umeagwa na kuzikwa...

READ MORE

Ibada Kumuaga Dada wa Shigongo Yafanyika Bupandwamhela (Pichaz)

IBADA ya kuuaga mwili wa dada wa Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, marehemu Vaileth James Bukumbi,...

READ MORE

MWILI WA RCO ILALA WAZIKWA ARUSHA

MWILI wa aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa wa Kipolisi Ilala jijini Dar es Salaam, SSP Anael Mbise (48) umezikwa...

READ MORE

MAJONZI: Mazishi ya Kikongwe wa Miaka 140, Vilio Vyatawala! – Video

HAKIKA ni simanzi, majonzi na vilio vimetawala wakati wa mazishi ya mzee kikongwe, Siliam Goda, mwenye umri wa miaka 140....

READ MORE

Simanzi! Mazishi ya Kaka wa Mpiga Picha Mkuu wa Global – Pichaz

MPIGA Picha Mkuu wa Kampuni ya Global Publishers wachapishaji wa Magazeti ya Uwazi, Ijumaa, Risasi, Ijumaa Wikienda, Amani, Championi, Spoti...

READ MORE

MAJONZI: MAZISHI ya Sheikh Zuberi Yahya Dar – Video

Mazishi ya aliyekuwa Imamu wa Msikiti wa Mtoro, Sheik Zuberi Yahya Mussa, yamefanyika jana Jumanne, Machi 5, 2019, katika Makaburi...

READ MORE

Dada Aliyetoka Njombe Hadi Bukoba Kumzika Ruge, Afunguka! – Video

Kauli ya kwamba marehemu, Ruge Mutahaba alikuwa kipenzi cha watu imezidi kujidhihirisha zaidi kwenye msiba wake kwani watu kutoka maeneo...

READ MORE

Mkulima Aliyedaiwa Kupigwa Risasi Kanisani na Mkurugenzi Azikwa

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,  Selemani Jafo amelaani vikali vitendo cha watumishi...

READ MORE

KWA HERI KANTONA, PIGO KWA MUZIKI WA DANSI

ALIYEKUWA Mwanamuziki wa Bendi  ya Mapacha Watatu aliyefariki kwa ajali ya gari Jumamosi iliyopita, amezikwa Jumatano, Januari 31, 2019 na...

READ MORE

MAZIKO YA ERICK KANTONA YAAHIRISHWA

MAZISHI ya mwanamuziki wa Mapacha Music Band inayoongozwa na Jose Mara, Erick Kantona Mugogo wa Mazizini au Msanii wa Bei...

READ MORE

Pumzika Mama Abdul, Hivi Ndivyo Alivyozikwa – VIDEO

HATIMAYE mwili wa aliyekuwa muigizaji mkongwe wa Bongo Muvi, Salome Nonge maarufu kwa jina la Mama Abdul leo Januari 28, 2019...

READ MORE

INAUMA! Mazishi ya Aliyekufa Siku ya Ndoa Yatikisa Moshi – VIDEO

ARUSHA! Inasikitisha sana! Mazishi ya bwana harusi, Heaven Makupa (47) aliyefariki dunia katika kanisa la Nabii wa Utukufu wa Bwana...

READ MORE

MAGUFULI AONGOZA WAKATOLIKI KUAGA MWILI WA ASKOFU CHENGULA

Rais  John  Magufuli leo Novemba 26, 2018 ameungana na maaskofu, mapadri, watawa na waumini wa Kanisa Katoliki kutoa heshima za...

READ MORE

Ibada ya Kuaga Mwili wa Isaac Gamba, Bunda – Pichaz

MWILI wa aliyekuwa mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle (DW) nchini Ujerumani, Isaac Muyenjwa Gamba umeagwa katika ibada ya kuaga mwili huo iliyofanyika...

READ MORE

MV NYERERE: Kilio cha Watoto Walipoona Kaburi la Mama Yao – VIDEO

MOJA kati ya miili mitano ya watu walipoteza maisha katika ajali ya MV Nyerere na kuzikwa juzi Jumapili, Septemba 23,...

READ MORE

Mwili wa Kofi Annan Wawasili Ghana, Kuzikwa Alhamisi – Picha

RAIS wa Ghana, Nana Akufo-Addo ameongoza mamia ya waombolezaji kuupokea mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN), Kofi...

READ MORE

ANAYEDAIWA KUMUUA MWANAKWAYA GESTI AKAMATWA KANISANI

  KIJANA anayedaiwa kumuua Mariam Charles (26), mwanakwaya wa Kanisa la AICT, Chang’ombe (anafahamika kwa jina moja la Frank) amekamatwa...

READ MORE

RATIBA YA MAZISHI YA MAREHEMU DR. GODFREY MBARUKU LEO DAR

MAZISHI ya kumzikamarehemu Dr Godfrey Michael Dafa Thomas Mbaruku aliekua mtafiti Mkuu wa Miradi mbalimbali wa Ifakara Health Institute alietwaliwa...

READ MORE

Sugu Alivyomwaga Machozi Akisoma Wasifu wa Mama Yake – Video

  MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu), ameshindwa kujizuia na kujikuta akiangua kilio na kumwaga machozi alipokuwa akisoma wasifu...

READ MORE

Simanzi na Huzuni Kuagwa kwa Mwili wa Mama wa Sugu – Picha + Video

SIMANZI na huzuni vimetawala wakati wa kuaga mwili wa mama mzazi wa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu), Bi....

READ MORE

RAIS MAGUFULI AONGOZA MAMIA CHATO MAZISHI YA DADA YAKE (VIDEO +PICHA)

MWILI wa Dada wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Marehemu Monica Magufuli umezikwa nyumbani...

READ MORE

Rais Magufuli Amwaga Machozi Akiaga Mwili wa Mzee Majuto – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli ameshindwa kujizuia na kujikuta akimwaga machozi wakati alipokuwa akiaga mwili...

READ MORE

UTARATIBU WA KUAGA NA MAZISHI YA MZEE MAJUTO – Video

KUFUATIA kifo cha msanii nguli wa vichekesho nchini, Mzee Amri Athumani aliyeaga dunia jana usiku majira ya saa 2:00 usiku...

READ MORE

IBADA YA KUMUAGA MAMA SHIGONGO, BUPANDWAMHELA – PICHAZ

IBADA ya kumuaga mama mzazi wa Mkurugenzi wa Makampuni ya Global Group. Eric Shigongo, Bi. Asteri a Kahabi Kapela,  imeanza...

READ MORE

Viongozi Waungana na Kikwete Mazishi ya Baba Mkwe Wake – Video

MWILI wa mzee Rashid Mkwachu ambaye alikuwa Baba Mkwe wa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rashid aliyefariki dunia jana...

READ MORE

Baba Mkwe wa Kikwete Azikwa Makaburi ya Kisutu – Video + Pichaz

MWILI wa Baba Mkwe wa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rashid Mkwachu aliyefariki dunia jana Alhamisi umezikwa leo katika...

READ MORE

Ridhiwani Aelezea Kifo cha Babu Yake, Atoa Ratiba ya Mazishi – Video

KUFUATIA kifo cha Baba mzazi wa mke wa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete, Mzee Rashid Mkwachu...

READ MORE

SIRI YA LULU KUTOMZIKA PATRICK YAFICHUKA!

    BAADA ya mazishi ya mtoto wa muigizaji Rose Alphonce ‘Muna’, Patrick kufanyika kisha rafiki yake kipenzi, muigizaji Elizabeth...

READ MORE

Matukio 8 Yaliyotikisa Msiba wa Patrick

JUMANNE ya Julai 3, 2018, staa wa filamu kutoka Bongo Movies, Rose Alfonce ‘Muna’ alipata pigo baada ya kufiwa na...

READ MORE

SIMANZI: Hivi Ndivyo Patrick Anavyozikwa Makaburi ya Kinondoni – Video

Mwili wa mtoto Patrick ambaye ni mtoto wa Muna Love umezikwa leo Jumamosi, Julai 7, 2018  katika makaburi ya Kinondoni...

READ MORE

MAZISHI YA MKE,MUME WALIOJIUA KWA MOTO JIPYA LAIBUKA

KIBAHA: Wakati tukio la mume, Hussein Zaid (58) na mke wake mdogo, Zainabu Juma (42) wakazi wa Mtaa wa Kilimahewa,...

READ MORE

Simanzi! Bibi Aliyemlea Sam wa Ukweli Aachwa Mpweke – Video

  INAHUZUNISHA SANA! Hivyo ndiyo unavyoweza kusema kufuatia kifo cha aliyekuwa msanii wa Bongo Fkleva, Sam wa Ukweli, Bibi aliyekuwa...

READ MORE

Rais Kikwete Auangana na Wasanii Kumzika Sam wa Ukweli – Video

RAIS Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameungana na familia, ndugu, wasanii na waombolezaji wengine...

READ MORE

Mazishi ya MARIA na CONSOLATA; Iringa yazizima, ni vilio kila kona

IRINGA: PACHA walioungana Maria na Consolata Mwakikuti waliofariki dunia Jumapili iliyopita katika Hospitali ya Rufaa Iringa, wameifanya Iringa nzima kuzizima...

READ MORE

Shuhudia Mazishi ya Maria na Consolata Leo – Video

 MIILI ya mapacha Maria na Consolata Mwakikuti (20) waliofariki dunia Jumamosi iliyopita katika Hospitali ya Mkoa wa Iringa, imeagwa...

READ MORE

MARIA NA CONSOLATA WALIVYOPENDANA HADI KABURINI – VIDEO

  WATOTO mapacha Maria na Consolata Mwakikuti (20) waliofariki Jumamosi iliyopita Juni 2, 2018 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, wataendelea...

READ MORE