The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Miss Tanzania

MA-MISS T Z WALIOTOBOA

SHINDANO la urembo nchini Tanzania (Miss Tanzania) lilipata kuwa moja ya mashindano makubwa hapa nchini. Shindano hili lilivuta hisia za wengi. Lilikuwa na msisimko wa aina yake na hata warembo wake waliokuwa wakishiriki,…

Wema ana rekodi yake Miss TZ

MIONGONI mwa warembo waliotwaa Taji la Miss Tanzania, Wema Isaac Sepetu ndiye mwenye rekodi yake ya kipekee ya kuwa na skendo nyingi ambazo zilijulikana na kuandikwa. Kwa mujibu wa tathmini ya Ijumaa Wikienda, skendo ya kwanza kuhusu…

Miss Tanzania Akwaa Skendo UDM

MISS Tanzania namba mbili 2016/17 ambaye pia ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu Dar (UDSM), Mary Peter amekwaa skendo ya kimapenzi baada ya kudaiwa kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwanafunzi mwenzake ambaye pia ni Mr Tanzania 2017,…

Ndoa ya Husna Yapigwa Kalenda

MSHIRIKI wa Miss Tanzania 2012, Husna Maulid ambaye Februari, mwaka huu ilikuwa aolewe kwa mbwembwe zote na mwanaume wake raia wa Congo, Mwami Rajabu, hatimaye shughuli hiyo imesogezwa mbele. Mwishoni mwa mwaka jana, msanii huyo…

Miss Tanzania Aja na Somo la Urembo

NARGIS Mohammed ambaye alikuwa mshindi wa tatu katika Shindano la Miss Tanzania msimu wa 2003/04, ameamua kuja kivingine baada ya kuanzisha somo la urembo.   Nargis ambaye anashirikiana na Nafue Nyange anayefahamika zaidi Kama…