The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Neymar

Neymar Afunguka Sababu ya Kulia

STAA wa Brazil, Neymar amesema kuwa alimwaga machozi baada ya mchezo wa Copa Amerika kwa kuwa Wabrazili wote walikuwa nyuma yao. Wikiendi iliyopita Brazil na Argentina walivaana kwenye fainali ya Copa Amerika, ambayo…

Kampuni Nike Yamtema Neymar

KAMPUNI kubwa ya mavazi nchini Marekani Nike inasema iliacha kufanya kazi na mwanasoka wa Brazil Neymar kwa sababu "alikataa kushirikiana katika uchunguzi kwa nia njema " juu ya madai ya unyanyasaji wa kingono dhidi ya mfanyakazi.…

Neymar Awakimbia Barcelona

MSHAMBULIAJI bora wa PSG Neymar Santos Junior, huenda akakosekana katika mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya timu yake ya zamani Barcelona, unaotarajiwa kufanyika jumanne ijayo ya tarehe 16/02/2021. Neymar aliumia…

NEYMAR AMTIBUA KOCHA PSG

KOCHA wa Paris Saint- Germain, Thomas Tuchel hakuwa tayari kung’ata maneno kuhusu kitendo cha nyota wa timu yake, Neymar kusafiri kutoka Ufaransa kwenda Madrid licha ya kuwa ni majeruhi. Neymar alisafiri kwenda Madrid…

Neymar Nje Wiki 4

KIUNGO wa PSG, Neymar ametupwa nje kwa wiki nne baada ya kuumia nyama za paja akiwa na timu ya Taifa ya Brazil. Brazil walikuwa wanavaana na Nigeria kwenye mchezo wa kirafi ki wakati mchezaji huyo alipoumia na kutolewa uwanjani kwenye mchezo…

Siri ya Neymar yafichuka Real

SABABU kuu tatu ndizo zinaelezwa kuwa zilisababisha Real Madrid kuachana na mpango wa kumsajili staa wa Paris St. Germain, Neymar. Pamoja na baba wa Neymar kuwabembeleza sana Real Madrid lakini klabu hiyo haikushawishika kumvuta staa…

BABA WA NEYMAR ATUA BARCELONA

MABOSI wa Barcelona juzi walikutana na mwakilishi wa mshambuliaji wao wa zamani Neymar wakifanya naye mazungumzo ili arudi kwenye timu hiyo. Neymar kwa sasa ni mchezaji wa PSG ambaye aliuzwa hapo na Barcelona na sasa anataka…

NEYMAR AVULIWA UNAHODHA BRAZIL

NEYMAR amevuliwa unahodha wa timu ya taifa ya Brazil kufuatia kutoelewana na kocha wake, Tite. Staa huyo wa PSG, alikuwa ndio anatazamiwa kuwa nahodha wa Brazil kwenye michuano ya Copa America inayoanza Juni 14 hadi Julai 7, mwaka huu.…

NEYMAR, MBAPPE WAZINGUANA PSG

MASTAA wa Paris St. Germain, Neymar na Kylian Mbappe inasemekana wamekorofishana, habari hii inadaiwa kuwafurahisha Real Madrid. Mbappe na Neymar kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakihusishwa kutaka kuondoka PSG na kutakiwa na Real Madrid.…

Neymar Aweka Rekodi Mbili Uefa

STAA wa PSG, Neymar, juzi alionyesha kuwa bado anaweza kuonyesha ki­wango cha hali ya juu baada ya kuifungia timu yake mabao matatu ‘hat trick’ walipoichapa Red Star Belgrade mabao 6-1 kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya. …

Neymar Aenda Tena Barcelona

MSHAMBULIAJI wa PSG, Neymar juzi alitua kwenye timu yake ya zamani ya Barcelona na kukutana na wachezaji wenzake wa zamani. Neymar alitua kwenye timu hiyo na kukutana na Luis Suarez na Rakitic ikiwa ni siku moja tangu…

Neymar Aumia, Azua Hofu PSG

KUFUATIA nyota wa PSG ya Ufaransa, Neymar Jr kuumia wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Ufaransa kati ya timu yake dhidi ya Marseille, jana usiku, kipa wa PSG, Alphonse Areola amesema anawasiwasi na kuumia kwa mshambuliaji…

Henry Ampa Makavu Neymar

NYOTA wa zamani wa Arsenal na Timu ya taifa ya Ufaransa, Thierry Henry amesema anaamini Neymar hawezi kukimbia kivuli cha Lionel Messi labda abadaili aina ya mchezo lakini si kuhama timu na kuendelea kucheza soka. …

MNC wa PSG Waitikisa Dunia

TAYARI PSG imeshaonekana kuwa na safu ya ushambuliaji hatari zaidi duniani kwa sasa, ukiachana na zile za timu kadhaa zilizopo kwa sasa. Huwezi kutaja safi bora za ushambuliaji Ulaya ukaacha kuitaja safu hiyo ya PSG ambayo ina…

Neymar; Kiwembe mwingine La Liga

Neymar da Silva Santos Junior. WIKI kadhaa zilizopita ukurasa huu uliandika habari zinazomhusu winga mshambuliaji wa Real Madrid ya Hispania, Cristiano Ronaldo juu ya msururu wa wanawake aliotoka nao kimapenzi. Lakini kama ulidhani tabia…