The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Rais Magufuli

JPM Awataka Watanzania Kuchukua Tahadhari ya Corona

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli, amewataka watanzania kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa Korona kama zinaelekezwa na wataalamu wa afya na amefafanua kuwa serikali haijazuia matumizi ya barakoa bali watanzania…

JPM AMTEUA MPOGOLO KUWA DC IKUNGI

Rais Magufuli amemteua Edward Mpogolo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida kuanzia leo July 24 akichukua nafasi ya Miraji Mtaturu ambaye amechaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki, kabla ya uteuzi huo Mpogolo alikuwa…