Mkuu wa Polisi wa Kitaifa Ajiuzulu Baada ya Kuuawa kwa Waziri Mkuu wa Japan
MKUU wa Polisi wa kitaifa wa Japan, Itaru Nakamura amewasilisha ombi la kujiuzulu baada ya kukiri kushindwa kumlinda Waziri Mkuu wa zamani, Shinzo Abe ambaye aliuawa hivi karibuni wakati wa kampeni ya uchaguzi.
Nakamura…