VIDEO: Polisi 54 Wamefukuzwa Kazi Kujihusisha na Uhalifu
ASKARI 54 wa Jeshi la Polisi nchini wamefukuzwa kazi kati ya Januari hadi Juni mwaka huu (2019) baada ya kubainika kwenda kinyume na maadili ya kazi ikiwamo kufanya vitendo vya uhalifu na kushirikiana na wahalifu.
…