Shamsa, Siwema Ushoga Pambe!
STAA wa fi lamu za Kibongo, Shamsa Ford na mzazi mwenza wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Elibariki Emmanuel ‘Nay wa Mitego’; Siwema Edson, wameunda ushoga pambe pamoja na kwamba, wote walishatoka kimapenzi na jamaa huyo.
…
