TAMASHA la Tigo Fiesta liliendelea Mkoa wa Singida usiku wa kuamkia leo katika Uwanja wa Namfua Stadium. Wasanii waliotoa burudani ni Nuh Mziwanda, Shilole, Mr Blue, Niki wa Pili, Nandy, Ben Pol na Jux na wengine wengi.
Staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, akiongea na mashabiki wake Uwanja wa Namfua usiku wa kuamkia leo katika tamasha la Tigo Fiesta.
Shilole akicheza sebene na shabiki wake.
Mashabiki wakiendelea kumshangilia Shilole (hayupo pichani)
Shabiki akiendelea kujiachia na Shilole.
Shilole akiendelea kufanya makamuzi.
Msanii wa Bongo Fleva, Jux, akiimba wimbo wake mpya wa Wivu.
Mkali wa wimbo ‘Jike Shupa’ Nuh Mziwanda akifanya yake.
Nuh Mziwanda akiongea na mashabiki zake.
Msanii wa Bongo Fleva, Niki wa Pili, akitoa burudani.
Staa wa Bongo fleva, Nandy (katikati) akicheza na wacheza shoo wake.
Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Kheri Sameer, maarufu kama Mr Blue akiimba ngoma ya Mboga Saba.
…Akiongea na mashabiki.
Juma Saidi aka ‘Tox Star’ akifanya yake.
Comments are closed.