HabariKitaifa Tigo yazindua mtandao wa 3G Longido Last updated Jun 26, 2019 Share Meneja wa Tigo kanda ya Kaskazini Lilian Mwalongo (kushoto) akizungumza na wananchi wa Longido mkoani Arusha wakati wa uzinduzi wa mnara mpya ulio ongezewa uwezo kutoka 2G kwenda 3G . Wa kwanza kulia ni Mtendaji wa kijiji cha Longido Leiyo Laizer na Mwenyekiti wa kijiji Theresia Kashuma Mwenyekiti wa kijiji cha Longido Theresia Kashuma (kati kati) akiongea na wananchi wa Longido mkoani Arusha wakati wa uzinduzi wa mnara mpya wa Tigo ulio ongezewa uwezo kutoka 2G kwenda 3G. Meneja wa Tigo kanda ya Kaskazini, Lilian Mwalongo (kati kati) akipongezana na Mtendaji wa kijiji cha Longido Leiyo Laizer (kushoto) na mwenyekiti wa kijiji hicho Theresia Kashuma (kulia)muda mfupi baada ya kuzindua mnara mpya ulio ongezewa uwezo kutoka 2G kwenda 3G . Maofisa wa Tigo wakiwahudumia wateja ambao ni wakazi wa Longido mkoani Arusha wakati wa uzinduzi wa mnara mpya ulio ongezewa uwezo kutoka 2G kwenda 3G uliofanyika Longido. Share
Comments are closed.